waziri2020
Senior Member
- May 31, 2019
- 190
- 451
Mkuu wa mkoa wa zamani Arusha, Daniel Njolaay kwa kushirikiana na jaji Mstaafu jina linahifadhiwa ,wameingia kwenye msuguano Mkali wakituhumiwa kupanga njama na kuhujumu kesi ya Ardhi dhidi ya mfanyabiashara Philemon Mollel.
Taarifa zaidi zinadai kwamba Njolaay ambaye alikuwa pia mwenyekiti wa bodi katika hospital ya Seliani na kufukuzwa, kwa maslahi yake binafsi akishirikiana na mfanyabiashara Anselin Ninja na mbunge wa Arusha Mrisho Gambo wanadaiwa kufanya kikao Cha Siri Klabu Africo iliyopo eneo la Kimandolu jijini ARUSHA.
Inaelezwa kwamba kikao hicho ndicho kiliadhimia kubadili mwenendo wa kesi baada ya Njolaay kuahidiwa sh,milioni 100 iwapo Monaban atafanikiwa kupokonywa eneo hilo.
Waliadhimia Monabani apokonywe eneo lake lenye ukubwa wa ekari mbili alilowekeza kituo Cha mafuta Jambo ambalo jaji aliyeendesha kesi hiyo alitoa maamuzi hayo na kumpa ushindi William Taitas Mollel.
Kikao hicho kilifadhiliwa na mfanyabiashara mwenye asili ya kiarabu anayemiliki kampuni ya mafuta ya Lake oil na ndiye anataka kununua eneo hilo.
Siri ya kikao hicho imevuja baada ya mmoja ya washirika wa kikao hicho atibua Siri baada ya kubaniwa mgawo wa fedha walizoahidiwa
Monaban anaeleza kwamba amelimiliki eneo hilo kwa zaidi ya miaka 14 akiendesha shughuli za kiuchumi lakini ameshangaa mtu asiyejulikana kumfungulia kesi ya madai mahakamani wakati nyaraka zote za umiliki anazo.
Kesi hiyo kwa Sasa ipo mahakama ya rufaaa ambapo wiliam kwa kushirikiana na Njolaay wanafanya mbinu mpya kupitia jaji Mstaafu ili kuonana na majaji wa rufaa waweze kutoa ushindi kwa William Taitas Mollel kutwa eneo hilo.
Taarifa zaidi zinadai kwamba Njolaay ambaye alikuwa pia mwenyekiti wa bodi katika hospital ya Seliani na kufukuzwa, kwa maslahi yake binafsi akishirikiana na mfanyabiashara Anselin Ninja na mbunge wa Arusha Mrisho Gambo wanadaiwa kufanya kikao Cha Siri Klabu Africo iliyopo eneo la Kimandolu jijini ARUSHA.
Inaelezwa kwamba kikao hicho ndicho kiliadhimia kubadili mwenendo wa kesi baada ya Njolaay kuahidiwa sh,milioni 100 iwapo Monaban atafanikiwa kupokonywa eneo hilo.
Waliadhimia Monabani apokonywe eneo lake lenye ukubwa wa ekari mbili alilowekeza kituo Cha mafuta Jambo ambalo jaji aliyeendesha kesi hiyo alitoa maamuzi hayo na kumpa ushindi William Taitas Mollel.
Kikao hicho kilifadhiliwa na mfanyabiashara mwenye asili ya kiarabu anayemiliki kampuni ya mafuta ya Lake oil na ndiye anataka kununua eneo hilo.
Siri ya kikao hicho imevuja baada ya mmoja ya washirika wa kikao hicho atibua Siri baada ya kubaniwa mgawo wa fedha walizoahidiwa
Monaban anaeleza kwamba amelimiliki eneo hilo kwa zaidi ya miaka 14 akiendesha shughuli za kiuchumi lakini ameshangaa mtu asiyejulikana kumfungulia kesi ya madai mahakamani wakati nyaraka zote za umiliki anazo.
Kesi hiyo kwa Sasa ipo mahakama ya rufaaa ambapo wiliam kwa kushirikiana na Njolaay wanafanya mbinu mpya kupitia jaji Mstaafu ili kuonana na majaji wa rufaa waweze kutoa ushindi kwa William Taitas Mollel kutwa eneo hilo.