Stress Challenger
JF-Expert Member
- Feb 24, 2022
- 1,778
- 4,282
Tatizo kuna watu wanadaigi kwa jazba kejeli na matusi tena hadharani. Sasa hii inapelekea kumpa nafasi shetani atawale nafsi na akili ya mdaiwa nakusababisha sintomfaham kupelekea kufanya mauaji bila kujijua.Kwa hiyo, marehemu aliuwawa kwa sababu alidai chake?
Na kwamba hela aliyokuwa anadai marehemu ilinunulia nyumba Magomeni badala ya kununulia Fuso kama marehemu alivyokubaliana na mshtakiwa/muuaj...
Mnakumbuka kisa cha uriah aluvyokuwa anadai chake mke wake kwa Daudi? Alikomaa hadi akakataa kwenda nyumbani. Daudi alimaindi kichiz akaamua tu kumpoteza.
Dawa ya deni ni kulipa. Tusiwe wachoyo na tamaa zembe. Dhulma ni mbaya inasababisha mdaiwa kuwa na hasira za kijinga akidaiwa nakupelekea kuua nafsi isiyokuwa na hatia.
Saa zingine ukimdai mtu anakukwepa na kukudhulumu muachie Mungu tu. Jamaa angemuachia Mungu asingeuwawa.
Acha anyongwe tu.