Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,584
point ni kwamba kwa tamko la pinda, ni kuipa tabia hiyo legitimacy. Ni kukubali kuwa hatuna utawala wa sheria, ni kusema kuwa watu "wakichoshwa" basi wachukuwe hatua papo kwa papo dhidi ya wale wanaosababisha hisia hiyo ya kuchoshwa. Hoja ni kwamba, awe mwiba mbuzi, mgoni, au muuaji (haijalishi anayemuua nani) sheria ni lazima iwe dikteta. Tukiweka exception (kama ilivyofanya serikali) kuwa anayeuwa albino basi naye auawe papo hapo hapo basi tunakuwa tumehalalisha uvunjaji wa principle.
Na kama Nyerere alivyosema ukiivunja kanuni kubwa, basi kanuni hiyo itatafuta njia ya kukuvunja..! I know.. he was right.
Mwanakijiji, inawezekana Pinda alikuwa akikikubali kile ambacho wengi labda hatutaki kukikubali, nacho ni hatuna utawala wa kisheria na umetushinda.....