Vesper-valens
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 5,263
- 7,348
Habari za muda huu jf members , Poleni na Covid19's fever
Let's us Go back to our topic.
Katika Sanaa huwa ni nadra Sana kutokea wasanii wawili au zaidi kuwa na aina moja ya Sanaa ambayo ukiiangalia n km zinafanana iwe kwenye kuimba, au kuigiza ...katika Sanaa yetu hapa Bongo tumebahatika kupata baadhi ya wasanii ambao ...aina ya nyimbo zao au uigizaji wao kwenye movie n km ulikua unafanana mpaka nashabiki wakaanza kuwafanyia comparisons.
Hawa n baadhi ya wasanii na presenters waliowahi kutokea kufanana kupitia Sanaa zao mpka nashabiki wakaanza kuwafananisha
Steven kanumba Vs Vicent kigosi(Ray)
Kupitia Bongo movie Hawa jamaa waliteka sana nyoyo za watu , lakini ukiachilia kukubalika ikifika mahali n km walikua wanafanana kuanzia life style mpaka uigizaji na aina ya movie wanazozitoa mpaka wakaingia kwenye beef la chini chini
Salama jabiri Vs Dj fetty
Hawa n moja ya presenters wawili ambao walikua wanafanya vizuri Sana kipindi Cha nyuma ....Ila Kuna kipindi nashabiki walianza kuwa compare kua Kati yao Nani n mkali na hii ilikua n kutokana na mfanano wao wa kupresent vipindi vyao
P funk majani Vs Master j
Hawa producers ambayo wanahistoria kubwa Sana katika sanaa ya Bongo na haitaweza kufutika kirahisi coz wametimiza ndoto za wasanii wengi na kuwa insparational kwa upcoming producers
Kuna kipindi watu walianza kuwa compare kutokana na lifestyle na aina ya ngoma zao Hadi ikifika kipindi wakawa na beef ...
Lady Jay dee Vs Ray c
Jide na Ray c hawakua na uimbaji unao fanana Ila katika kipindi chao walikua wao ndo wanafanya vizuri so ilifika time nashabiki wakaanza kuwashindanisha
Yp na y-dash
Hawa washikaji kutoka kiumeni walikua wanastyle zinazofanana na wakashauriwa wafanye music pamoja na katika kipindi chao walifanya vizuri
TID vs Q chief
Wana aina ya music unaofanana Hadi waliamua kufanya band ya pamoja ...
Sumalee vs C-pwaa
Hawa jamaa kuanzia sauti, uimbaji wanafanana walikua na kundi lao baadaye wakavunjika
Gigy money vs Amber lulu
Ukiangalia lifestyle yao na namna wamepata umaarufu wanafanana kwa vingi
Nandy vs Ruby
Hawa wanafanya pouwa Sana Ila waliingia ktk kushindanishwa kutokana na aina ya music unaofanana
Barnaba vs Amini
Barnaba na amini wanafanana kuanzia uandishi na pia hata baadhi ya melody wameshiriki kutengenezea wasanii wa T.H.T
Godzilla vs Bilnass
Hawa n sauti tuu kwa mbali zilikua zinafanana Ila ufanano ulikuzwa na mashabiki tuu Hadi ikapelekea kum deprese Godzilla
Diamond vs Ally kiba
Hawa style za kuimba n tofauti Ila wamenimgia katika kategory hii kwavile ya nguvu ya mashabiki
Stereo vs One the incredible
Stereo na one wameshafananishwa Sana kutokana na style ya uchanaji Tangu enzi za kilingeni
Mario vs Jaymelody
Hawa walitoka kipindi kimoja na style yao ya kuimba n sawa Ila kwa Sasa Mario anafanya vizuri zaidi
Shilole vs Snura
Hawa walikua waigizaji baadaye wakaingia kwenye music japo hawana vipaji vya music Ila kupitia Kiki na unenguaji jukwaani wakatoboa
Bell 9 vs Ben Paul
Hawa Wana aina flani ya music unaofanana na watu wengi huwa wanajaribu kufanya comparisons kuwa yupi n mkali
Ay vs Fa
Kuanzia life style ..smartness upstairs na urafiki baina yao
Mr blue vs Josline
Kuna kipindi dulysykes aliamua kuwashirikisha katika ngoma yake ya dhahabu pasipo wawili hao kujua kwakua kipindi hiko walikua wanabeef kutokana na watu kuwa compare
One love
Let's us Go back to our topic.
Katika Sanaa huwa ni nadra Sana kutokea wasanii wawili au zaidi kuwa na aina moja ya Sanaa ambayo ukiiangalia n km zinafanana iwe kwenye kuimba, au kuigiza ...katika Sanaa yetu hapa Bongo tumebahatika kupata baadhi ya wasanii ambao ...aina ya nyimbo zao au uigizaji wao kwenye movie n km ulikua unafanana mpaka nashabiki wakaanza kuwafanyia comparisons.
Hawa n baadhi ya wasanii na presenters waliowahi kutokea kufanana kupitia Sanaa zao mpka nashabiki wakaanza kuwafananisha
Steven kanumba Vs Vicent kigosi(Ray)
Kupitia Bongo movie Hawa jamaa waliteka sana nyoyo za watu , lakini ukiachilia kukubalika ikifika mahali n km walikua wanafanana kuanzia life style mpaka uigizaji na aina ya movie wanazozitoa mpaka wakaingia kwenye beef la chini chini
Salama jabiri Vs Dj fetty
Hawa n moja ya presenters wawili ambao walikua wanafanya vizuri Sana kipindi Cha nyuma ....Ila Kuna kipindi nashabiki walianza kuwa compare kua Kati yao Nani n mkali na hii ilikua n kutokana na mfanano wao wa kupresent vipindi vyao
P funk majani Vs Master j
Hawa producers ambayo wanahistoria kubwa Sana katika sanaa ya Bongo na haitaweza kufutika kirahisi coz wametimiza ndoto za wasanii wengi na kuwa insparational kwa upcoming producers
Kuna kipindi watu walianza kuwa compare kutokana na lifestyle na aina ya ngoma zao Hadi ikifika kipindi wakawa na beef ...
Lady Jay dee Vs Ray c
Jide na Ray c hawakua na uimbaji unao fanana Ila katika kipindi chao walikua wao ndo wanafanya vizuri so ilifika time nashabiki wakaanza kuwashindanisha
Yp na y-dash
Hawa washikaji kutoka kiumeni walikua wanastyle zinazofanana na wakashauriwa wafanye music pamoja na katika kipindi chao walifanya vizuri
TID vs Q chief
Wana aina ya music unaofanana Hadi waliamua kufanya band ya pamoja ...
Sumalee vs C-pwaa
Hawa jamaa kuanzia sauti, uimbaji wanafanana walikua na kundi lao baadaye wakavunjika
Gigy money vs Amber lulu
Ukiangalia lifestyle yao na namna wamepata umaarufu wanafanana kwa vingi
Nandy vs Ruby
Hawa wanafanya pouwa Sana Ila waliingia ktk kushindanishwa kutokana na aina ya music unaofanana
Barnaba vs Amini
Barnaba na amini wanafanana kuanzia uandishi na pia hata baadhi ya melody wameshiriki kutengenezea wasanii wa T.H.T
Godzilla vs Bilnass
Hawa n sauti tuu kwa mbali zilikua zinafanana Ila ufanano ulikuzwa na mashabiki tuu Hadi ikapelekea kum deprese Godzilla
Diamond vs Ally kiba
Hawa style za kuimba n tofauti Ila wamenimgia katika kategory hii kwavile ya nguvu ya mashabiki
Stereo vs One the incredible
Stereo na one wameshafananishwa Sana kutokana na style ya uchanaji Tangu enzi za kilingeni
Mario vs Jaymelody
Hawa walitoka kipindi kimoja na style yao ya kuimba n sawa Ila kwa Sasa Mario anafanya vizuri zaidi
Shilole vs Snura
Hawa walikua waigizaji baadaye wakaingia kwenye music japo hawana vipaji vya music Ila kupitia Kiki na unenguaji jukwaani wakatoboa
Bell 9 vs Ben Paul
Hawa Wana aina flani ya music unaofanana na watu wengi huwa wanajaribu kufanya comparisons kuwa yupi n mkali
Ay vs Fa
Kuanzia life style ..smartness upstairs na urafiki baina yao
Mr blue vs Josline
Kuna kipindi dulysykes aliamua kuwashirikisha katika ngoma yake ya dhahabu pasipo wawili hao kujua kwakua kipindi hiko walikua wanabeef kutokana na watu kuwa compare
One love