Huo mwisho wa dunia tangia niko tumboni mwa mama mpaka hapa leo hii ni kidume na midevu yangu, nasikia mkisema eti mwisho wa dunia!Mwisho wa dunia eti Mungu Zumaridi
Nilihudhuriaga =niliwahi kuhudhuliaNilihudhuriaga ibada zake huwa anakili Kama mungu hajamtuma Basi amuue pale pale madhabauni pake kwa radi Kali Kama ishara.
Mungu anakausha hampigi radi which means katumwa nae.
Na wanao abudu miungu wanakuona wewe ndio uko kwenye wrong track Kama Magufuli anavyowaona UPDP MAENDELEOKuna kitu wengi hamuelewi, kuna Mungu na miungu, usishangae mtu kujiita mungu au kua na mungu wake anayemuabudu ukaona kama dunia ndio mwisho HAPANA, hiyo miungu ilikuwepo karne na karne hata vitabu vya dini vinatuambia, kwa hiyo kama wewe unaabudu Mungu ni sawa ila jua kuna wengine wana abudu miungu au wao ndio mungu kulingana na vigezo vyao.
Mungu hatumwi na mwanadamu. Alichokuwa anafanya Zumaridi Ni kumtuma Mungu aliye haiNilihudhuriaga ibada zake huwa anakili Kama mungu hajamtuma Basi amuue pale pale madhabauni pake kwa radi Kali Kama ishara.
Mungu anakausha hampigi radi which means katumwa nae.