Mfalme wa Oman Mtukufu Sayyid Qabos bin Said amhakikishia Rais Magufuli Ushirikiano Uwekezaji sekta ya viwanda

Ghazwat

JF-Expert Member
Oct 4, 2015
23,718
66,262
12360ce05edcb52b9923988bc4fbbf86.jpg
4226f26fea10b89c3f4c288dfcf3addb.jpg

Mfalme wa Oman Mtukufu Sayyid Qaboos bin Said Al Said amemhakikishia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kuwa nchi hiyo ipo tayari kuunga mkono juhudi za Serikali ya Awamu ya Tano kwa kuongeza Uwekezaji katika viwanda, Uzalishaji wa nishati, na kuongeza thamani ya madini.

 
Hizo ahadi za viongozi wa kigeni tumeshazizoea lakini wakiondoka inabaki story.

Nje ya mada hao Oman si ndio kila siku tunaambiwa Maalim Seif anataka kuwarudisha nchini akishika madaraka? Hapo inadhibitisha unafiki haulipi.
 
..hiyo meli ya kitalii waliyokuja nayo hao waarabu ikiondoka Dar inaondoka na nyara zitakazotolewa kama zawadi (ama kutoroshwa kijanja)..ama miche ya dhahabu...ama mademu wa kibongo watakaoenda Oman kufanyishwa kazi za ndani..ikiwemo kugawa nyapu....at least twajua wabongo tunavyokuwaga generous kwenye haya mambo....jimeli hilo halirudi tupu...na bahati mbaya sana halitakaguliwa wakati wa kuondoka.... Hatujasahau twiga wetu walivyotoroshwa na ile ndege ya jeshi la Qatar.... Ilikuja hivi hivi Dar...na waarabu....
 
Back
Top Bottom