paul milya
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 285
- 93
Mfalme wa nyika huyo jamani.
Nilikuaga najua wako kama mbwa....aisee siku nimewaona live pale mikumi sikuamini walivyowakubwa...hizi TV hizi mtu unaweza ukawa unaelewa ndivyo sivyo
Karibu nyumbani umwone mwenye black mane....ninae namfuga.......
Ntakaribia xmass nile na pilauKaribu nyumbani umwone mwenye black mane....ninae namfuga.......
huyo mfalme wako wala hamuwezi Buffalo kwa lolote lile[/QUOTE
Unasemaje wewe? haya nimekuja sasa, au kwa sababu sijaonekana jamvini cku nyingi.
Mfalme wa nyika huyo jamani.
umetoa wapi picha yangu.?