Alwaz
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 6,827
- 10,356
Mtawala wa mwisho wa Zanzibar kwa mfumo wa ufalme ambaye alichukuliwa Uiengereza kwa madai ya kupinduliwa leo ametua nchini Oman kutokea London ikiwa ni mara yake ya mwanzo tangu azaliwe miaka 91 iliyopita.
Ametua nchini humo kama wazanzibari wengine wanavyofika kuitembelea nchi hiyo yenye historia kubwa na ukanda ya Afrika Mashariki na kati.
Ametua nchini humo kama wazanzibari wengine wanavyofika kuitembelea nchi hiyo yenye historia kubwa na ukanda ya Afrika Mashariki na kati.