chibalangunamchezo
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,542
- 2,639
Daaah !! Nimefikili Sana hapo kwenye kuubeba mlima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima yatakuwa maandiko ya quranDaaah !! Nimefikili Sana hapo kwenye kuubeba mlima
Ndio wayahudi wanadai hivyo mkuu ila uhalali wake bado ni mjadala mpana.Daaah !! Nimefikili Sana hapo kwenye kuubeba mlima
Hapana mkuu ni maandiko matakatifu ya kiyahudi ipo kwenye Talmud/Midrash (Kma Quran au Bible) ambapo kuna Rabbi mmoja alikua anaeleza historia ya wayahudi ndio akagusia kuwa kama mlima ule ungetupwa basi ungekua mwisho wa kizazi chao kwenye historia.Lazima yatakuwa maandiko ya quran
pamoja mkuu kazi nzuriNdio wayahudi wanadai hivyo mkuu ila uhalali wake bado ni mjadala mpana.
kichwa chake sijui kinafananaje....Acha basi kunichekesha kama mnara wa voda
Mmh!.. hatavmm nimewahi soma kitu hiki lakini najiuliza hivi Mungu alikuwa na kusudi gani na mwanadamu?Kuna sehemu nilisoma kuwa walikufa kwenye gharika ila roho zao hakuziua. Ili dunia ijayo ijue na ione kazi zake.
Na ndio hawa wanaotawala dunia now
Huyu mfalme katika Uislamu habari zake nazipata wapi ?Mfalme OG anatajwa kwenye vitabu vya dini kuu tatu za mashariki ya kati i.e uislam,ukristo na uyahudi....
Lakini kama ndivyo kwani pia Mungu hakujua kuwa kuna hiyo mimba ya kiumbe cha aina hiyo ambacho kitakuja kuwa changamoto badaaeKitu ninachokijua kwa sehemu ndogo tu kwa uelewa wangu mdogo ni kwamba, Mungu akitaka kufanya jambo lake hashindwi kulifanya, huyo mnefili aliyesalia kwa kufikiri fikiri tu yaweza kuwa alikuwa mimba wakati wa gharika labda.
Kinyume na hapo yaliyobakia yote ni vigumu kukubaliana nayo kwa sababu tangu mvua kunyesha mpaka maji kuanza angalau kupungua ni zaidi ya mwaka! Sasa huyo ni kiumbe gani mwenye mwili ambaye hali wala kunywa kwa mwaka mzima kwenye dharuba nzito namna hiyo?!!!