tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 11,809
- 15,059
mtu ana wake 20, atawezaje kuinvest?So hela zote alishindwa weka investments, za maana?
mtu ana wake 20, atawezaje kuinvest?So hela zote alishindwa weka investments, za maana?
Mkuu mtu hashibi imani,jua ana wake na watoto na kuimba taarabu ndio kipawa chake alichopewa na Mungu, kuimba taarabu sio ushetani, watu hawaelewi dini, pale Saudia kuna waimbaji mbalimbali wa hizo taarabu na maisha yanasonga sasa mwenzangu mie alikuwa ana beep kumbe hajiwezi na vizuri kaligundua hilo,mwanandamu hataishi kwa imani pekeeSiamini nilimuona pale magomeni kwa shekhe Sharifu Imani imejaa Sana sidhani km atareje
Mkuu mtu hashibi imani,jua ana wake na watoto na kuimba taarabu ndio kipawa chake alichopewa na Mungu,kuimba taarabu sio ushetani,watu hawaelewi dini,pale Saudia kuna waimbaji mbalimbali wa hizo taarabu na maisha yanasonga sasa mwenzangu mie alikuwa ana beep kumbe hajiwezi na vizuri kaligundua hilo,mwanandamu hataishi kwa imani pekee
Wake wanne kuwalisha ujipange. Astafirulilahi. Uchebe mwenzie mjanja dini kaweka kando anakyula haramu
Njaa sio masihara...Jamaa anakiri kuwa na madeni kila kona ya nchi hii hali inayomletea frastruation zaidi na kuona aheri arudi kushika mic!
Hahahah utaokoka huku una njaa na unamiliki wake wa 3?Ela zimeisha sasa hawezi akahimili njaa kali lazima arudi tu. Kuokoka inatakiwa uvumilie yote
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣 hakika
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 oya wahuni mnaua sana
hahahah mzee wa "Juma dedeee"mtu ana wake 20,atawezaje kuinvest?
Ukweli mtupu. Yaani ukiwa na ndalama ata imani gako inakuwa ya ukweli sio ya kinafiki.😂😂😂😂😂 tatizo la hii dunia ni uwepo wa kitu kinachoitwa pesa. Tungekua zama za kubadilishana ngamia na gunia la mahindi maisha yangekuwa fiti sana.
Pesa ni ukafiri na huwezi kuukwepa maana ndo inayoendesha ulimwengu. Ukiikosa maisha hayatakuwa na maana, inshort huwezi kuwa na msimamo ukiwa na ukata. Simshangai!
Sasa mtu kama Bhakresa akiamua kuwa swala 5 hivi kuna kifungu gani anaweza kukosea? Maana anaweza kuishi katika misingi ya dini na mambo yakaenda sawa tu. Sasa we kapuku jiegamize huko uone kama hujaanza kuwa omba omba.Ukweli mtupu. Yaani ukiwa na ndalama ata imani gako inakuwa ya ukweli sio ya kinafiki.
Alafu bwana ukiwa na mihela yamuweza tuu kuendesha maisha yako vizuri mbona mungu utamtumikia vyema tuu. Pesa ni ulinzi bwana