Anselm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 1,710
- 291
Eti sababu,kwa tim ipo ya kuifunga simba?na kwa taarifa yenu msimu huu tunatoka unbeaten,
Eti unbeaten, hata kama uzi huu utakuwa umeshasahaulika hiyo tarehe 3 October baada ya mechi yetu nitaurudisha ku'prove kutokuwa sahihi kwa hapo kwenye red.
Matokeo yenu ya mechi hizi 2 zilizopita hapa Taifa dhidi ya Ruvu Shooting na dhidi ya Prison inaonyesha kuna point nyingi tu mtakazodondosha siku mtakapotia mguu pale Mabatini Mlandizi na kule Sokoine Mbeya duru la 2, nyie chekeleeni tu kuanzia mechi nyingi nyumbani.