MFALME JUHA
Member
- May 5, 2008
- 13
- 1
Nimekuwa msomaji makini wa JF kwa miezi kadhaa, nimesoma michango mingi ya wana forum anuai, hatimaye nami nimeamua kujiunga na JF rasmi naombasana mnipokee na mnipe ushirikiano wa kutosha isipokuwa tu kitu kimoja nitaomba mnivumilie sana kwa jina langu hilo kwani mi ni JUHA kweli kweli, nipo tayari kuuza utu wangu ajili ya 10% nipo tayari kufanya yafuatayo.
1. kuwekeza fedha kibao za kigeni nje ya nchi wakati dispensari za nchi yangu zikiwa zapigania mgao wa Apsrini
2. nipo tayari kumlinda yeyote katika viongozi mara wafanyapo makosa na sitokubali mtu yeyote anifuatefuate
3.nipo tayari kutoa ahadi nyingi kwa watu wangu hata kama hazitekelezeki
4.nipo tayari kukaribisha wazungu wote waliokimbia Zimbabwe wawekeze katika mashamba ya hapa Bongo hata kama baadae wananchi wangu watakosa sehemu za kilimo
5. nipo tayari kufukuza wafugaji wote wa Kimasai katika maeneo ili eneo hilo nipate muwekezaji kwani mara tu baada ya utawala wangu nataka nijenge hekalu zuri kuzidi lile la Lushoto
6.kwa kuwa kuna mgao kidogo kwenye mikata yote ya wawekezaji basi nitaendelea kubinafisisha maeneo yote kama vile Reli nk hata kama watu watalalamika sana sontojali
7. Wale wanaodai Barabara za mikoani wasinisumbue kama wanataka kuona Lami nawaruhusu waje Bongo kila mwisho wa mwezi yaani ya baada ya kupokea VIJImishahara vyao ambavyo kwa kweli havitoshi ila nifanyeje sasa.
8. Maana yangu kubwa ni kuwa ile Barabara yas kutoka Itigi hadi Kigoma kupitia Tabora haitawezekana kwani nimegundua wanyamwezi na waha hamna utaratibu wa kwenda sana kwenu hivyo Usafiri wa Reli unawatosha kabisa kwa kuzingatia wengi wenu husafiri kwavijisenti kiddogo muwapavyo ma Cleaner na hata ma TT
- Mwisho lakini si kwa umuhimu naomba Mode usiifute Thread hii ili wana JF waendelee kunipa ushirikiano wa mawazo kwa kuhakikisha kuwa naitafuna nchi hii hadi kieleweke.
NAOMBA USHAURI ZAIDI
MIMI MFALME JUHA
1. kuwekeza fedha kibao za kigeni nje ya nchi wakati dispensari za nchi yangu zikiwa zapigania mgao wa Apsrini
2. nipo tayari kumlinda yeyote katika viongozi mara wafanyapo makosa na sitokubali mtu yeyote anifuatefuate
3.nipo tayari kutoa ahadi nyingi kwa watu wangu hata kama hazitekelezeki
4.nipo tayari kukaribisha wazungu wote waliokimbia Zimbabwe wawekeze katika mashamba ya hapa Bongo hata kama baadae wananchi wangu watakosa sehemu za kilimo
5. nipo tayari kufukuza wafugaji wote wa Kimasai katika maeneo ili eneo hilo nipate muwekezaji kwani mara tu baada ya utawala wangu nataka nijenge hekalu zuri kuzidi lile la Lushoto
6.kwa kuwa kuna mgao kidogo kwenye mikata yote ya wawekezaji basi nitaendelea kubinafisisha maeneo yote kama vile Reli nk hata kama watu watalalamika sana sontojali
7. Wale wanaodai Barabara za mikoani wasinisumbue kama wanataka kuona Lami nawaruhusu waje Bongo kila mwisho wa mwezi yaani ya baada ya kupokea VIJImishahara vyao ambavyo kwa kweli havitoshi ila nifanyeje sasa.
8. Maana yangu kubwa ni kuwa ile Barabara yas kutoka Itigi hadi Kigoma kupitia Tabora haitawezekana kwani nimegundua wanyamwezi na waha hamna utaratibu wa kwenda sana kwenu hivyo Usafiri wa Reli unawatosha kabisa kwa kuzingatia wengi wenu husafiri kwavijisenti kiddogo muwapavyo ma Cleaner na hata ma TT
- Mwisho lakini si kwa umuhimu naomba Mode usiifute Thread hii ili wana JF waendelee kunipa ushirikiano wa mawazo kwa kuhakikisha kuwa naitafuna nchi hii hadi kieleweke.
NAOMBA USHAURI ZAIDI
MIMI MFALME JUHA