Mfalme atoa amri vijana waoe wake kuanzia wawili

Status
Not open for further replies.
Binafsi nimetembea na wanawake wengi sana. Mungu anisamehe. Lakini Wale nikiowakuta Bikra niliwaacha bila kuwaharibu kama nilikuwa siwapendi. Lakini baadae nilipata niliyemuona anavigezo vingi vya kuwa mke wangu. Kikiwepo kigezo cha bikra. Huyo nimeibikiri. Mpaka sasa tupo pamoja huu mwaka wa tano.

Anamalizia Degree yake ya udaktari hapa Muhimbili. Tuanze maisha ya ndoa Rasmi. Taratibu zote zimekamilika kichobaki ni ndoa tuu.

Katma is bitch kweli lakini laana ya mwenye dhambi ni kama dua la kuku lisilo mpata mwewe. Yaani nikukute huna bikra then utegemee nkuamini na kukupenda. Looh! Utakuwa uongo wa mchana
Kama haujawahi kutoa mwanamke bikra ukamuacha sawa.
Ila wenzako wamezitoa hivyo wanaoa yeyote mwenye na asiye na bikira kwa sababu hata hao siyo mabikra.
Asante kwa kushiriki
 
Kama haujawahi kutoa mwanamke bikra ukamuacha sawa.
Ila wenzako wamezitoa hivyo wanaoa yeyote mwenye na asiye na bikira kwa sababu hata hao siyo mabikra.
Asante kwa kushiriki


Binafsi kama mwanamke anabikra au ananipenda sana alafu mimi simpendi namkimbia coz naogopa laana za watu kama hawa. Lakini mtu hana bikra na najua hanipendi wala sijali sana. Nafanya nitakavyo coz najua Laana zao si kali sana.
 
Watanzania ni watu wa ajabu sana, ninyi na future mbali mbali, ebu jifunzeni kwa akina bilgate, bakhresa n.k. Yani nyinyi all the time munawaza haya mambo ndio mana umasikini hauishi.
 
Utafungwa jamaa waliopo wapo primary twenzetu south mkuu
Binafsi siwezi enda huko. Siwezi wasaliti wanawake wa taifa langu ukizingatia kuwa hata wenye bikra wapo.

Nitawapenda Dada zangu na kuwatendea heshima ya kuwafanya wawe wake zangu. Lakini ukweli lazima niwape kuwa kama huna bikra subiri wanaopenda vitu used.
 
Eswatini nchi nzuri sana ile, imetulia, umasikini sio sana, uhalifu kidogo, and wasichana ni wengi na ni wazuri,, ndiyo maana mfalme kaamua kuwasaidia, ni wengi kwa kweli.., af hakuna ubaguzi wa kijinga kama wa South Africa,. Karibuni wenye uwezo wenu, ingawa mfalme hajaomba msaada kutoka kwa raia wa kigeni,,
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom