mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,834
Daah. Kwenye miti hakuna wajenzi.
Muulize mfalme kama kuna nafasi za wageni nije
Muulize mfalme kama kuna nafasi za wageni nije
Ukifanikiwa tusaidiane mkuu coz hawa slay queens wetu wanatutesa sana na kutaka kuishi maisha ya instagramDuh!!!ngoja nijipange nikatembelee huko aisee,nikaone mema ya dunia.
Kwa hiyo nyoka akiingia ndani kwako unakimbia unamwachia nyumba unahamia kwa jirani? Au utamuua uendelee kuishi kwako?hapana umejitoa sadaka ili tulipuke maumivu yetu ya ndani tulioumizwa na wanawake.
Wewe utakuwa unanitesa, nikikukosea kidogo tuu unanitishia kwenda huko.Basi nipe yako..ili nisiende huko
Hamuendi popote, nyie ni wahapa hapa.Haaaaaahaaaa
nyie si mnajidai mko very expensive afu mkiacha kuhudumiwa hivyo vitu expensive mnakimbia mkidai eti "umemwacha mwanaume kisa kibamia" kumbe ni ww tu kuwa expensive
utakosa mme..hapo ukute hata mtoto huna unadharau kitanda..au ulikua unaonesha tabia zako za kurukaruka unajua kila mwanamkeWanaume mnanichangia daaahhhnisameheni.
Hapana Aiseee, kwa ustaarabu ulionesha mpaka kughairisha Safari yangu sitokutesa aiseee, wewe nipe tu mamaWewe utakuwa unanitesa, nikikukosea kidogo tuu unanitishia kwenda huko.
Huko pa kawaida tu, hata gharama za lodge ni ndogo tu...ukienda 1.5m unarudi na chenchiHamuendi popote, nyie ni wahapa hapa.
Ok cute b mi naleta proposal PMKwa hiyo nyoka akiingia ndani kwako unakimbia unamwachia nyumba unahamia kwa jirani? Au utamuua uendelee kuishi kwako?
Hamna mtu anayeruhusiwa kutoka kwenda kuoa kwenye hii nchi. Mtuoe kwanza sisi watakaobaki ndiyo waende huko.
Sawa?
Hamuendi popote nyie. Mtaoa hapa hapa.utakosa mme..hapo ukute hata mtoto huna unadharau kitanda..au ulikua unaonesha tabia zako za kurukaruka unajua kila mwanamke
Sio mbaya maana hata akiwa mke mmoja kusaidiwa kupo endapo hakuna uaminifuTatizo la kuwa na wake wengi , utajikuta kati ya watoto 25 watano tuu ndiyo wakwako na wengine umesaidiwa.
awapi mim ningekuwa sijaoa ningeoa Mmalawi kwanza wanaadabu kuolewa na mtanzania kwao wanaona wameinuliwa pili wao wanaongea kiingereza kama lugha yao hivyo gharama za watoto kuwasomesha shule za kishua zitapungua na kingine ni hard worker wanapiga mzigo kisawasawa ndani na nje ya chumba achaaaaa kabisa! pia wanauzoefu wa kufuga kuku.Kwa hiyo nyoka akiingia ndani kwako unakimbia unamwachia nyumba unahamia kwa jirani? Au utamuua uendelee kuishi kwako?
Hamna mtu anayeruhusiwa kutoka kwenda kuoa kwenye hii nchi. Mtuoe kwanza sisi watakaobaki ndiyo waende huko.
Sawa?
Sawa nakupa namba, hiyo nauli iliyokuwa inakuwasha kwenda kwenye hiyo nchi uitume huko , niile ikishaisha ndiyo nitakuwa na uhakika kwamba hauwezi kwenda tena.Hapana Aiseee, kwa ustaarabu ulionesha mpaka kughairisha Safari yangu sitokutesa aiseee, wewe nipe tu mama
DaaaahHamuendi popote nyie. Mtaoa hapa hapa.
Tutawazaliwa watoto , wa kwanza wa boda boda, wa pili wakwako, watatu wa Fundi bomba.
1.5m siyo?Huko pa kawaida tu, hata gharama za lodge ni ndogo tu...ukienda 1.5m unarudi na chenchi
Fanya fasta.Ok cute b mi naleta proposal PM
Hahaha unaila then unaliwa, basi njoo fastaSawa nakupa namba, hiyo nauli iliyokuwa inakuwasha kwenda kwenye hiyo nchi uitume huko , niile ikishaisha ndiyo nitakuwa na uhakika kwamba hauwezi kwenda tena.
Yeah1.5m siyo?