Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,455
- 29,134
Hii ni hadithi flani ya zamani nadhani nilihadithiwa mimi tu. Inamhusu mfalme mmoja alikuwa mbabe na katili na alikua hapendi kuambiwa ambalo halijui wala hataki kuambiwa. Wanachi wa mji ule wakiogopa sana maana alizuia habari yoyote mbaya kuhusu yeye na wazee wake wa baraza, kwa namna alivyokuwa akiendesha huo mji hata watu walipoona maovu waliogopa kusema maana mfalme angekushughulikia ipasavyo.
Wananchi wakawa wanaona poa maana shida pia hua inazoezwa, ikawa mfalme akivaa mavazi yake vitu vyote vipo nje basi wananchi wanaitana na kuoneshana na kucheka sana, mfalme akiona hivyo anajua wanacheka kwa kuwa amependeza. Ikaendelea mpaka baadhi ya watu wakatamani kumwambia mfalme kuwa vitu vipo nje lakini kabla hawajaongea mfalme ashashughulika nao, wakaona isiwe tabu ngoja nao wajiunge kumcheka.
Ni hadithi tu nimeikumbuka
Wananchi wakawa wanaona poa maana shida pia hua inazoezwa, ikawa mfalme akivaa mavazi yake vitu vyote vipo nje basi wananchi wanaitana na kuoneshana na kucheka sana, mfalme akiona hivyo anajua wanacheka kwa kuwa amependeza. Ikaendelea mpaka baadhi ya watu wakatamani kumwambia mfalme kuwa vitu vipo nje lakini kabla hawajaongea mfalme ashashughulika nao, wakaona isiwe tabu ngoja nao wajiunge kumcheka.
Ni hadithi tu nimeikumbuka