Taifa la Israel tunalo liona leo sio taifa lililo zungukwa na vilaza. Nitaifa lenye majitu yenye akili nyingi tena sio watu wa mchezo mchezo. Nawao nitaifa kwanza sio mtu. Waziri Mkuu wa Sasa Benjamin Netanyahu ni mmoja wa viongoz wenye high IQ. Sio yeye tu ila na kizazi chao na wote ni zao la Mossad.
Nikatika taifa hili wakati fulani walipita katika kipindi kugumu na ndipo Mfalme wa wakati ule akaagiza watafutwe vijana wenye akili na maarifa ktk kila eneo kwa jili yakumshauri.
Historia inatuambia nikaktika hili kundi paliibuka most genius men on Earth Daniel. Alikuwa na akili nyingi na alinusa kutoka mbali.
Labda niwaambie msije mkafikiri wanao oma mambo yatatokea miaka mia ijayo ni manabii ktk jina ila kuna watu wanauwezo kufanya kazi yakusema kesho kinatokea nini!
Kuna watu wanauwezo kumnusa mtu nakumjuwa wapi yupo kwa maelezo au uwezo wa akili.
Hii ni bidhaa adimu sana watu wenye akili na uwezo ktk mambo yakiusalama na kila kitu. Nahapa ndipo Israel wanaipa tabu dunia na mpaka sasa hakuna.
Taifa lolote dunian nguvu yake ipo ktk usalama wa taifa imara na ktk usalamawa taifa imara unaitajikuwa na vichwa vyenye akili zaid yako hivyo nilazima ufanye kaz nao nakuwasikiliza sana.
Dakika chache baada yakudunguliwa ndege iso kuwa na rubani Marekani walitaka kulipiza kisasi kwa kishindo dhidi ya Iran. Ila huwez kuamini baada yakutoka kwenye kikao cha siri mweny nchi aliahirisha. Hiyo ndio nguvu ya CIA. Moja ya agency za usalama yenye nguvu duniani.
Kuna gharama kubwa pale taifa linakosa aina hii ya watu na ndio kisa cha shule za vipaji maalumu ambazo kuna waziri fulani aliziharibu pasipojuwa anatumaliza.
Nguvu ya familia na aina yeyote ya kampuni nikuwa na watu wenye akili nibahati mbaya unawezakuwa na watu wenye first class ila ukimsikiliza pass ndio fist class.
Nitaendelea...
Nikatika taifa hili wakati fulani walipita katika kipindi kugumu na ndipo Mfalme wa wakati ule akaagiza watafutwe vijana wenye akili na maarifa ktk kila eneo kwa jili yakumshauri.
Historia inatuambia nikaktika hili kundi paliibuka most genius men on Earth Daniel. Alikuwa na akili nyingi na alinusa kutoka mbali.
Labda niwaambie msije mkafikiri wanao oma mambo yatatokea miaka mia ijayo ni manabii ktk jina ila kuna watu wanauwezo kufanya kazi yakusema kesho kinatokea nini!
Kuna watu wanauwezo kumnusa mtu nakumjuwa wapi yupo kwa maelezo au uwezo wa akili.
Hii ni bidhaa adimu sana watu wenye akili na uwezo ktk mambo yakiusalama na kila kitu. Nahapa ndipo Israel wanaipa tabu dunia na mpaka sasa hakuna.
Taifa lolote dunian nguvu yake ipo ktk usalama wa taifa imara na ktk usalamawa taifa imara unaitajikuwa na vichwa vyenye akili zaid yako hivyo nilazima ufanye kaz nao nakuwasikiliza sana.
Dakika chache baada yakudunguliwa ndege iso kuwa na rubani Marekani walitaka kulipiza kisasi kwa kishindo dhidi ya Iran. Ila huwez kuamini baada yakutoka kwenye kikao cha siri mweny nchi aliahirisha. Hiyo ndio nguvu ya CIA. Moja ya agency za usalama yenye nguvu duniani.
Kuna gharama kubwa pale taifa linakosa aina hii ya watu na ndio kisa cha shule za vipaji maalumu ambazo kuna waziri fulani aliziharibu pasipojuwa anatumaliza.
Nguvu ya familia na aina yeyote ya kampuni nikuwa na watu wenye akili nibahati mbaya unawezakuwa na watu wenye first class ila ukimsikiliza pass ndio fist class.
Nitaendelea...