Mfahamu Tete Kafunja, Mtanzania aliehukumiwa kunyongwa kwa kesi ya kubambikiwa na kusota miaka 18 jela

Sawa mashahidi wa uongo wapo lakn sio kwa kesi ya mauaji.

Kwanza ukiwa na kesi ya mauaji serikali inakuwekea wakili wa kukutetea.

Kwa kesi ya mauaji ukipeleka shahidi ya kuunga unaweza kuumbuka maana lazma mahakama itamtaka aelezee kwa kina ni namna gani mtuhumiwa amehusika na tukio
mkuu,, shahidi kitamshinda nn kutoa ushahidi wa uongo? hata kama kesi ni ya mauaji?
Au anajieleza kwa kichina?au kijapani?
Mkuu ,,nenda kwanza japo mahabusu ,ulale japo siku moja.
Ukiwa mule ndani utajuwa nn namaanisha...

Kuna mke wa jirani yangu fulani,, alikuwa ana maneno maneno sana ya ajabu ajabu.
Ananifanyia vituko na visa nyumbani kwangu.
Mara kafanya kile kwangu.
Mara hiki..
Mradi tu. Anisumbuwe,, na siku ukimshtakia kwa mumewe,, basi asubuhi yake akikuona utajuta kwa matusi na kejeli.
Siku nikamwambiya mm sitaki mambo ya ajabu ajabu..
Sijazoea wala sihitaji mambo ya hovyo kwangu.
Basi akakimbilia police,, akatengeneza kesi ,,na mashahidi wa uongo.
nimemtishia kumuua kimaneno..
Aisee!! Kesi ilinisumbuwa sana..
Yule kigagula alitengeneza vigagula wenzie kama 4 ,,mashahidi wa uongo mahakamani,,kwamba nimesema nitamuua. ,kibaya zaidi hao watu sijawahi kuwaona hata siku moja kwenye maisha yangu ,,


Kama nisingekuwa mtoto wa mjini basi ningeishia pabaya..
Nilijiongeza nikaruka sarakasi nyingi. .likaisha hilo.
Kwahyo mkuu, huku Africa 30% ya walio gerezani wametengenezewa kesi. Kwa chuki, au maslahi fulani ya watu.
 
Tan
Mlete huyo aliyemsingizia tukamshtaki kwa baby mmoja Tanga. Aisee utamfanya unavyotaka, awe kiziwi, kipofu, bubu au mikono ikauke mpaka ioze ikatwe. Kwa Bei dogo sana hata elfu kumi nyingi. Yaani Kama Ni yeye na katenda kweli na uhakika mnao
Tanga sehemu gani
 
mkuu,, shahidi kitamshinda nn kutoa ushahidi wa uongo? hata kama kesi ni ya mauaji?
Au anajieleza kwa kichina?au kijapani?
Mkuu ,,nenda kwanza japo mahabusu ,ulale japo siku moja.
Ukiwa mule ndani utajuwa nn namaanisha...

Kuna mke wa jirani yangu fulani,, alikuwa ana maneno maneno sana ya ajabu ajabu.
Ananifanyia vituko na visa nyumbani kwangu.
Mara kafanya kile kwangu.
Mara hiki..
Mradi tu. Anisumbuwe,, na siku ukimshtakia kwa mumewe,, basi asubuhi yake akikuona utajuta kwa matusi na kejeli.
Siku nikamwambiya mm sitaki mambo ya ajabu ajabu..
Sijazoea wala sihitaji mambo ya hovyo kwangu.
Basi akakimbilia police,, akatengeneza kesi ,,na mashahidi wa uongo.
nimemtishia kumuua kimaneno..
Aisee!! Kesi ilinisumbuwa sana..
Yule kigagula alitengeneza vigagula wenzie kama 4 ,,mashahidi wa uongo mahakamani,,kwamba nimesema nitamuua. ,kibaya zaidi hao watu sijawahi kuwaona hata siku moja kwenye maisha yangu ,,


Kama nisingekuwa mtoto wa mjini basi ningeishia pabaya..
Nilijiongeza nikaruka sarakasi nyingi. .likaisha hilo.
Kwahyo mkuu, huku Africa 30% ya walio gerezani wametengenezewa kesi. Kwa chuki, au maslahi fulani ya watu.
Kwa kesi kama yako hyo ni kesi ndogo sana hata shahidi akishasema nmesikia au nilikuwepo wakat anasema atakubalika tu na isitoshe ni mahakama za mwanzo ...

Mkuu hujawahi kuona mtu ameua kweli na anaachiwa huru??
Pamoja na mashahidi kuwepo??

Kesi ya mauaji inahitaji ushahidi kamili usio wa kubabaisha. Anaweza kuja shahidi akatoa ushahidi kuwa kweli nilimuona wakat anaua lakn lazma ataulizwa maswali mengne zaidi
Haitoshi tu kusema nilikuwepo wakat anaua na mtuhumiwa akutwe na hatia
 
Kwa kesi kama yako hyo ni kesi ndogo sana hata shahidi akishasema nmesikia au nilikuwepo wakat anasema atakubalika tu na isitoshe ni mahakama za mwanzo ...

Mkuu hujawahi kuona mtu ameua kweli na anaachiwa huru??
Pamoja na mashahidi kuwepo??

Kesi ya mauaji inahitaji ushahidi kamili usio wa kubabaisha. Anaweza kuja shahidi akatoa ushahidi kuwa kweli nilimuona wakat anaua lakn lazma ataulizwa maswali mengne zaidi
Haitoshi tu kusema nilikuwepo wakat anaua na mtuhumiwa akutwe na hatia
Kwahyo shahidi zaidi ya kusema nilimuona fulani akimuua fulani,, kuna kipi mahakama lazima ijiridhishe kwa shahidi?
 
Kwahyo shahidi zaidi ya kusema nilimuona fulani akimuua fulani,, kuna kipi mahakama lazima ijiridhishe kwa shahidi?
Mtuhumiwa alivaa nguo gani? Kama ww ulikuwepo kweli ulichukua hatua gani? Ulikuwa na nani ? Aliua kwakutumia nini? Na mengne mengi na ukumbuke hicho unachokisema kinaandikwa kitakuja kuhusianishwa na maelezo ya mashahidi wengne. Na endapo yakachanganyana kidogo tu tayar mtuhumiwa anatoka kwenye kesi
 
Mkuu,,,hakuna watu wabaya kama mashahidi.
Wapo mashahidi wa kulishwa maneno,,na wala kwenye tukio hawakuwapo.
Na wakafundishwa cha kuongea..
Mfano..
- nilimuona mtuhumiwa eneo la tukio kafanya kadha wa kadha.
- mwingine anasema alikuuzia panga siku moja kabla ya tukio,,na alitambua ni panga lile lililokutwa kwenye mwili wa marehemu.
Mkuu ukiingia mahabusu utakutana na kesi nyingi za ajabu mfano wa hyo jamaa,,
Nadhani mfumo wa usikikizaji kesi na ushahidi umepitwa na wakati..
Mtu anaweza akafunguwa kesi umemtishia kumuua kwa maneno.
Na akapanga mashahidi cha kuongea mahakamani,,,kwamba walikuwapo wakati unasema utaua,,
Hata kama hawakuwapo ,,
Tayari ni kesi na unafungwa.,
Sasa kama ni hvyo ilitakiwa kufanyike kitu kimoja.
Hao mahakimu ningewaona wana akili kama wangetunga sheria ambayo inatoa mwongozo kwamba"Mtu yeyote atakayemsingizia mwenzake kosa na kubainika ni uongo basi apewe adhabu kali ikiwemo kufungwa jela kuanzia miaka 5"
Lakini cha ajabu mtu anasingiziwa kesi na anafungwa kimakosa halafu baadae anaachwa tu hapewi fidia yoyote ile na mtu anarudi mtaani ndugu zake amepotezana nao huyo mtu ataishi vipi.
Sasa hao majaji na mahakimu kama wapo serious na kazi zao kwa nini wasimtafute yule mtu aliyemsingizia kesi wamuadhibu huoni kama wote lao moja tu.
Bongo ni utopolo mtupu
 
Mtuhumiwa alivaa nguo gani? Kama ww ulikuwepo kweli ulichukua hatua gani? Ulikuwa na nani ? Aliua kwakutumia nini? Na mengne mengi na ukumbuke hicho unachokisema kinaandikwa kitakuja kuhusianishwa na maelezo ya mashahidi wengne. Na endapo yakachanganyana kidogo tu tayar mtuhumiwa anatoka kwenye kesi
Tukio lilitokea saa ngapi?
Kuna ushahidi wowote kwamba siku ya tukio ulikwepo maeneo tukio lilipotokea?
Mtuhumiwa alitumia silaha gani?
Tukio hilo la mauaji lilitokea kwa muda gani?
Haya pia ni baadhi ya maswali (nimeyasema haya maswali kulingana na uzoefu wangu FINYU wa kuangalia cases zinavyoendesha nchini Marekani kwenye kipindi cha ID); Mfano, kuna kesi moja mtuhumiwa aliachiwa huru moja ya sababu ni kwamba mashahidi walipishana parefu kwenye kusema muda wa mauaji hayo ulikuwa ni saa ngapi... Kesi ikaonekana haina mashiko.
Ndio maana nilitaka tupate uzoefu wa wanasheria huku ndani pia ingesaidia
 
Tukio lilitokea saa ngapi?
Kuna ushahidi wowote kwamba siku ya tukio ulikwepo maeneo tukio lilipotokea?
Mtuhumiwa alitumia silaha gani?
Tukio hilo la mauaji lilitokea kwa muda gani?
Haya pia ni baadhi ya maswali (nimeyasema haya maswali kulingana na uzoefu wangu FINYU wa kuangalia cases zinavyoendesha nchini Marekani kwenye kipindi cha ID); Mfano, kuna kesi moja mtuhumiwa aliachiwa huru moja ya sababu ni kwamba mashahidi walipishana parefu kwenye kusema muda wa mauaji hayo ulikuwa ni saa ngapi... Kesi ikaonekana haina mashiko.
Ndio maana nilitaka tupate uzoefu wa wanasheria huku ndani pia ingesaidia
Kinadharia.
Hata huko Marekani kuna watu wanakaa jela miaka kibao kwa kesi za kubambika.
Hebu soma hii ya Uganda

I was on death row for 20 years for a murder I did not commit
 
Hivi kama kesi ya mauaji inakuaje mtu anabambikiwa hivi hadi hakimu/jaji anamtia kabisa hatiani? Tena kama story ya jamaa kuwa alienda tu kumuwekea dhamana mshikaji wake, wakamtia lock up akapewa kesi ya mauaji.
Wanasheria na wataalamu wa sheria watusaidie... How could that happen? Sio kwamba inabidi kuwe na ushahidi usio na chembe ya shaka hadi kufikia kumtia mtu hatiani kwa murder case na kuhukumu anyongwe?Mtuhumiwa ambae hata hakuwahi kukutana na huyo marehemu?? Au hapa pia kuna "role" ya MLUNGULA? Advocate J AdvocateFi Petro E. Mselewa et al
Mkuu, kwa mujibu wa mhusika, kesi yake ilianzia polisi. Yaani, alikamatwa na kupewa kesi ya mauaji. Jua kuwa kwenye kesi za jinai, ikiwemo ya mauaji, mashahidi wakubwa huwa ni polisi hasa wapelelezi na wale wakamataji. Hadi hapo umeupata muunganiko?

Si kazi ngumu, kibinaadamu, kuchonga mashahidi kwakuwa Mahakama huwa haihami na kutembelea mahali husika katika masuala ya jinai. Husikiliza na kuchambua tu maelezo na nyaraka zitolewazo na mashahidi. Pia, huzingatia uzito wa utetezi wa mtuhumiwa.

Kimsingi, ingawa si jambo jema, Mahakama yaweza kulishwa matangopori na mashahidi wa kweli au wale wa kuchonga ili kufikia lengo fulani. Ushahidi na nyaraka zote zaweza kuchongwa katika kumpotosha DPP na Mahakama.
 
Tukio lilitokea saa ngapi?
Kuna ushahidi wowote kwamba siku ya tukio ulikwepo maeneo tukio lilipotokea?
Mtuhumiwa alitumia silaha gani?
Tukio hilo la mauaji lilitokea kwa muda gani?
Haya pia ni baadhi ya maswali (nimeyasema haya maswali kulingana na uzoefu wangu FINYU wa kuangalia cases zinavyoendesha nchini Marekani kwenye kipindi cha ID); Mfano, kuna kesi moja mtuhumiwa aliachiwa huru moja ya sababu ni kwamba mashahidi walipishana parefu kwenye kusema muda wa mauaji hayo ulikuwa ni saa ngapi... Kesi ikaonekana haina mashiko.
Ndio maana nilitaka tupate uzoefu wa wanasheria huku ndani pia ingesaidia
Sio marekani tu hata hapa kwetu. Unajua kesi ya mauaji ni kesi kubwa sana hvyo inaendeshwa kwa umakini na Uhuru Mkubwa sana hvyo ushahidi unaopelekwa mahakaman unatakiwa uwe wa uhakika kabisa na mpaka jaji anapotoa huku ya kunyongwa ujue ushahidi ni wa uhakika kabisa.

Lakn sio rahisi kwamba mtuhuhuwia abambikwe tu kesi ambayo hajahusika nayo kabisa na ahukumiwe kunyongwa sio rahisi kabisa.
Na isitoshe kwenye kesi ya mauaji hasimami mtuhumiwa mwenyewe anasimamiwa na wakili wa utetezi hvyo wanakuwa wakili wa serikali na wakili wa utetezi ndio hupambana kwa hoja

Wakili wa utetezi ndio anakuwa anawachalenji mashahidi kwahyo sio rahisi ukaenda na ushahidi wa kutengenezwa na ukafanikiwa
 
Mlete huyo aliyemsingizia tukamshtaki kwa baby mmoja Tanga. Aisee utamfanya unavyotaka, awe kiziwi, kipofu, bubu au mikono ikauke mpaka ioze ikatwe. Kwa Bei dogo sana hata elfu kumi nyingi. Yaani Kama Ni yeye na katenda kweli na uhakika mnao
Acha fix zako wewe. Unajua tapeli na hao wanaozingizia watu kesi hawana tofauti?
 
Mkuu, kwa mujibu wa mhusika, kesi yake ilianzia polisi. Yaani, alikamatwa na kupewa kesi ya mauaji. Jua kuwa kwenye kesi za jinai, ikiwemo ya mauaji, mashahidi wakubwa huwa ni polisi hasa wapelelezi na wale wakamataji. Hadi hapo umeupata muunganiko?

Si kazi ngumu, kibinaadamu, kuchonga mashahidi kwakuwa Mahakama huwa haihami na kutembelea mahali husika katika masuala ya jinai. Husikiliza na kuchambua tu maelezo na nyaraka zitolewazo na mashahidi. Pia, huzingatia uzito wa utetezi wa mtuhumiwa.

Kimsingi, ingawa si jambo jema, Mahakama yaweza kulishwa matangopori na mashahidi wa kweli au wale wa kuchonga ili kufikia lengo fulani. Ushahidi na nyaraka zote zaweza kuchongwa katika kumpotosha DPP na Mahakama.
Ok.
Aisee. Kumbe kuingia selo/gerezani sio ngumu. Hatari sana.
 
Mm mwenyewe najiuliza sana. Kesi ya mauji inaendeshwa kwa umakini Mkubwa mno. Yaani mpaka mtuhumiwa anakutwa na hatia ujue mahakama imejiridhisha pasina shaka kuwa mtuhumiwa ametenda kosa kweli..
Mkuu hizo watu wanapewa sana na police,halafu linaitishwa gwaride mtu anaambiwa akutaje mlikua nae....unasota jela hata miaka 10 ndio unaachiwa
 
Polisi wa Tanzania ni aina ya jamii yenye roho mbaya sana na ndo maana ni vyema kuhakikisha una kaa nao mbali...

Inakuwaje umbambikizie Mwanadamu mwenzio kesi tena ya mauaji? Hii ni zaidi ya laana na tuna inajisi NCHI Kwa shuhuda za Uongo.

Awamu hii ya 5 hali imekuwa mbaya zaidi na kubambikiana makosa imekuwa ni sifa kwenye vinywa vya watawala. Rais anaongoza genge la wahuni kupanga mashtaka na ushahidi wa Uongo dhidi ya jamii isiyo na hatia Kisa Uongo tu.

BIBLIA inasema:
12 Mwenye kutawala akisikiliza uongo; Basi watumishi wake wote watakuwa waovu. (Mithali 29 :12)
Sijawahi kua rafiki na police wala mazoea,toka niko mdogo nawachukia ...na mungu kawapa police wetu maisha ya kuishi kwenye banda na familia yake.
Hawana tofauti na maisha ya panya
 
Ingekuwa ni kwa wenzetu hapo ungelipwa fidia ya kupotezewa mda na kuasirika kisaikolijia, hizi nchi zetu za pangu pakavu hawajui ilo sasa wanakupa 1000tsh wanajua mda uliokaa gerezan ungekuwa umezalisha hizo 1000 ngapi kama ungekuwa nje?
 
hata hivyo viloba vya bangi na magendo ya simu unayoyaona yakiripotiwa na "george maratu" wa ITV ni kwasababu polisi na wenye mali wanashindwa kufika muafaka wa kiasi gani cha rushwa wapewe, ukiwa na pesa huwezi kupewa kesi ....
 
Back
Top Bottom