kiraremapojoni
JF-Expert Member
- Nov 30, 2018
- 391
- 512
nimecheka kama mazuri kaka kumbe T.O ina maana nyingi sio Tanzania one tu hata Transport officer pia ni kirefu chake, wabongo noma , weka picha tu caption wataweka wenyeweT. O Nikajua ni Transport Officer Aaghh kumbe bado ni mambo ya Shule....