Mfahamu T.O Kihombo 2006 aliyepata Degree yake ya Kwanza baada ya Miaka 11

Huyu jamaa ni mwongo na ni mpenda Sifa
NECTA siku zote huwaga wanatoa Grade tu sio maksi na kama mtu wakawanza ameongoza mathalani ana one point 7 hii haizuhi mwanafunzi mwingine kuwa na one point 7 ila hapa utpfauti unabakia kuwa wakwanza alikuwa na alama zipi kwa wastani wake ukilinganisha na huyu mwingine ambaye hata kumi Bora hajaingia lakini ki grade wanalingana na yule aliyekuwa wakwanza

Pia swala la matokeo yaliyo tajwa kutofautiana na na yale yaliyoko kwenye cheti au mfumo sio kweli hakuna udanganyifu wa hivyo leo hii mtu anatajwa kwenye matokeo ukiangalia net utakuta hivyo hivyo na hata kwenye cheti huwa hivyo hivyo

Kwa maelezo yake huyu jamaa Mandela, ni upotoshaji na pia anapandikiza chuki kwa watanzania kuhusu watu wa MARA

Hii nchi inamisingi yake ambayo imetukuka toka enzi na enzi na pia hilo Baraza la mitiani NECTA limepata heshima kubwa ndani na nje ya Tanzania kwa waledi na ufanisi ulio tukuka
Mimi sio muongo, wala mimi sio mtu wa kupenda sifa kwa sababu mimi ningelikuwa mpenda sifa, TANZANIA nzima ingelinifahamu lakini kwa sababu sipendi sifa, hata kitongoji ninachoishi kwa sasa hawanitambui.

Inabidi na wewe, ifike mahala useme ukweli, kwa sababu hata Rais Magufuli mwenyewe anasema - Msema kweli ni mpenzi wa Mungu! Sasa mimi ni nani hata niseme uongo!?

Kwanza mimi nikisema uongo huwa naota ndoto mbaya usiku! Huwa silali kabisa! Kwa hiyo huwa najitahidi kusema ukweli ili niepuke ndoto zisizo na ulazima wa kuziota.

Sasa nisizungumzie wengine! Nipate hii fursa ya kujitetea na tuhuma za kuniita mimi ni muongo. Wakati mimi siku zote nimekuwa nikiishi kwa kusema ukweli.

Haya angalia matokeo ya wanafunzi bora waliofanya vizuri kitaifa kidato cha nne - mwaka 2007. Halafu uangalie na matokeo ya wanafunzi wa shule ya UHURU iliyopo mkoa wa Shinyanga. Angalia hata kwenye website ya NECTA tu! Halafu uniambie ukweli wako kuhusu mimi ni upi?

Mimi ni kijana mwenye heshima! Siwezi kuingia kwenye mitandao ya kijamii na kuanza kusema uongo! Napata faida gani! Na ili iwe nini?

Pengine wewe unaweza kuwa unanifahamu lakini mimi sikufahamu, kwa sababu unatumia utambulisho usio rasmi!

Mimi ningelikuwa ni kijana muongo, nisingelifika huku nilipo leo! Na nilitaka kupiga hatua kimataifa zaidi, lakini vyeti ndio vikaleta shida!

Mimi sio mtu muongo muongo! Hata mafanikio yangu nikiwa Chuo Kikuu Cha Dodoma yanajieleza wazi.

Hauwezi kupata nyadhifa zote hizi kama wewe ni mtu muongo muongo tu. Kuwa Deputy Speaker Of The Parliament, Speaker Of The Parliament na mwaka huo huo kuwa Council Secretary Of The Federation, haikuishia hapo tu nilikuwa President Of College Of Humanities & Social Sciences, mwaka 2012/13. Hii ikiwa ni mara ya kwanza kabisa kwa College Of Humanities & Social Sciences kuwa na Rais kutoka College Of Earth Sciences - School of Mines & Petroleum Engineering.

Kwa hiyo unapojadili kitu fulani na mimi, fahamu kuwa unajadili kitu hicho na kijana mwenye haiba ya URAIS!

Na nadhani kuna kitu natakiwa kufanya kwa College Of Humanities & Social Sciences kama shukrani, kwa sababu kitendo cha kuwa Rais wa awamu 5 kutoka College nyingine haikuwa kazi rahisi. Waliokuwepo watasimulia, haikuwa kazi ndogo hakika!

Sasa natakiwa kuandaa mradi ambao utakuwa ni mradi endelevu wa maendeleo ya kitaaluma, sio jambo jema kuzungumza mapema! Muda ndio hakimu mzuri, ukifika utaamua!
 
Umeishiwa tayar
Simba_Coach_Uganda_(@simbacoach_kampala)_posted_on_Instagram_•_Dec_9,_2019_at_11:21am_UTC%22_(1).jpg


Mimi sio wa Dar - Iringa au Dodoma - Arusha au Mwanza - Moro kwa usafiri wa kila siku 😂😂😂

Me, Personally and I was busy looking for another alternative route in our neighboring countries [ Kenya | Uganda | Rwanda | Burundi | South Sudan | Sudan | Ethiopia ] and I hope after COVID-19 we'll reach Addis Ababa - Ethiopia via Khartoum - Sudan.

SIMBA COACH is there for you! The Pride of Travellers! I need your prayers, meant MAOMBI 🙏🙏🙏
 
Charles Mandela,
I like vague thinking, I tried to understand you many times, the only thing I see is unproved complain about your necta results rigging which you try to generalize. The other is cow and bull stories.
 
Kumbe mkali we nini Shy
huko mimi nimezaliwa na kusoma na kuishi kwa sana mrefu sana
Wazazi wamezaliwa na kulia Shy
Naijua nje ndani
Big up Shy
Kuna mwaka 2011 kama sikosei, mbona yalijadiliwa bungeni nakumbuka mpka yalitolewa upya matokeo,
Yalikuwa ni ya kidato cha nne, kuna watu yalibadilika na kunawatu yalibaki vile vile,
Sijui sheria gani umeitumia kusema eti matokeo ya necta hayajadiliwi bungeni?
Ilikuwa ni mwaka 2012
 
Mimi sio muongo, wala mimi sio mtu wa kupenda sifa kwa sababu mimi ningelikuwa mpenda sifa, TANZANIA nzima ingelinifahamu lakini kwa sababu sipendi sifa, hata kitongoji ninachoishi kwa sasa hawanitambui.

Inabidi na wewe, ifike mahala useme ukweli, kwa sababu hata Rais Magufuli mwenyewe anasema - Msema kweli ni mpenzi wa Mungu! Sasa mimi ni nani hata niseme uongo!?

Kwanza mimi nikisema uongo huwa naota ndoto mbaya usiku! Huwa silali kabisa! Kwa hiyo huwa najitahidi kusema ukweli ili niepuke ndoto zisizo na ulazima wa kuziota.

Sasa nisizungumzie wengine! Nipate hii fursa ya kujitetea na tuhuma za kuniita mimi ni muongo. Wakati mimi siku zote nimekuwa nikiishi kwa kusema ukweli.

Haya angalia matokeo ya wanafunzi bora waliofanya vizuri kitaifa kidato cha nne - mwaka 2007. Halafu uangalie na matokeo ya wanafunzi wa shule ya UHURU iliyopo mkoa wa Shinyanga. Angalia hata kwenye website ya NECTA tu! Halafu uniambie ukweli wako kuhusu mimi ni upi?

Mimi ni kijana mwenye heshima! Siwezi kuingia kwenye mitandao ya kijamii na kuanza kusema uongo! Napata faida gani! Na ili iwe nini?

Pengine wewe unaweza kuwa unanifahamu lakini mimi sikufahamu, kwa sababu unatumia utambulisho usio rasmi!

Mimi ningelikuwa ni kijana muongo, nisingelifika huku nilipo leo! Na nilitaka kupiga hatua kimataifa zaidi, lakini vyeti ndio vikaleta shida!

Mimi sio mtu muongo muongo! Hata mafanikio yangu nikiwa Chuo Kikuu Cha Dodoma yanajieleza wazi.

Hauwezi kupata nyadhifa zote hizi kama wewe ni mtu muongo muongo tu. Kuwa Deputy Speaker Of The Parliament, Speaker Of The Parliament na mwaka huo huo kuwa Council Secretary Of The Federation, haikuishia hapo tu nilikuwa President Of College Of Humanities & Social Sciences, mwaka 2012/13. Hii ikiwa ni mara ya kwanza kabisa kwa College Of Humanities & Social Sciences kuwa na Rais kutoka College Of Earth Sciences - School of Mines & Petroleum Engineering.

Kwa hiyo unapojadili kitu fulani na mimi, fahamu kuwa unajadili kitu hicho na kijana mwenye haiba ya URAIS!

Na nadhani kuna kitu natakiwa kufanya kwa College Of Humanities & Social Sciences kama shukrani, kwa sababu kitendo cha kuwa Rais wa awamu 5 kutoka College nyingine haikuwa kazi rahisi. Waliokuwepo watasimulia, haikuwa kazi ndogo hakika!

Sasa natakiwa kuandaa mradi ambao utakuwa ni mradi endelevu wa maendeleo ya kitaaluma, sio jambo jema kuzungumza mapema! Muda ndio hakimu mzuri, ukifika utaamua!

2007 yupo charles venace ana div 4 ya 28 ndo wewe?
Kwa huo mwaka 2007 hapo uhuru sekondari
 
Hii nchi inamisingi yake ambayo imetukuka toka enzi na enzi na pia hilo Baraza la mitiani NECTA limepata heshima kubwa ndani na nje ya Tanzania kwa waledi na ufanisi ulio tukuka
Mbona madokta hawatakiwi kokote ulaya mpaka warudie mafunzo
na manesi ndio usiseme kwa elimu ya kibongo ni wanaonekana wauwaji wa wagonjwa
sasa huo UTOPOLO uliotukuka uko wapi
 
Mbona madokta hawatakiwi kokote ulaya mpaka warudie mafunzo
na manesi ndio usiseme kwa elimu ya kibongo ni wanaonekana wauwaji wa wagonjwa
sasa huo UTOPOLO uliotukuka uko wapi
Fanya research kwanza ujue unacho kisema una ushahidi?
Tanzania ni nchi ya pili kuwa na madaktari wengi kwa ukanda huu wa SADC lakini ni nchi ya kwanza ambayo WATAALAMU wake wa AFYA wanafanya kazi nje ya nchi yao
Kunawakati fulani wa awamu ya nne Rais mstaafu KIKWETE akiwa nje ya nchi aliwah kuhutubia watanzania walioko nje warudi nchini wajenge nchi yao hususani WATAALAMU wa AFYA

Sasa wewe unasema madaktari hawatakiwi Ulaya? Nawakati watu wapo wanafanya kazi
Huo ni uongo na hauna tofauti na adui namba moja wa taifa kwa sasa (mamluki)
Unaitaji kuchunguzwa.
 
Charles Mandela,
I like vague thinking, I tried to understand you many times, the only thing I see is unproved complain about your necta results rigging which you try to generalize. The other is cow and bull stories.
I only prefer to talk openly like this! By the way, I like your valuable comment. Now, give us your truth!
 
2007 yupo charles venace ana div 4 ya 28 ndo wewe?
Kwa huo mwaka 2007 hapo uhuru sekondari
Mimi ni MANDELA CHARLES mwenye Division One ya point 17! Halafu naomba utuwekee na orodha ya wanafunzi bora waliofanya vizuri kidato cha nne mwaka 2007. Hapo ndio utaona tofauti ninayosema mimi.
 
Fanya research kwanza ujue unacho kisema una ushahidi?
Tanzania ni nchi ya pili kuwa na madaktari wengi kwa ukanda huu wa SADC lakini ni nchi ya kwanza ambayo WATAALAMU wake wa AFYA wanafanya kazi nje ya nchi yao
Kunawakati fulani wa awamu ya nne Rais mstaafu KIKWETE akiwa nje ya nchi aliwah kuhutubia watanzania walioko nje warudi nchini wajenge nchi yao hususani WATAALAMU wa AFYA

Sasa wewe unasema madaktari hawatakiwi Ulaya? Nawakati watu wapo wanafanya kazi
Huo ni uongo na hauna tofauti na adui namba moja wa taifa kwa sasa (mamluki)
Unaitaji kuchunguzwa.
Acha kusema uongo!
 
Fanya research kwanza ujue unacho kisema una ushahidi?
Tanzania ni nchi ya pili kuwa na madaktari wengi kwa ukanda huu wa SADC lakini ni nchi ya kwanza ambayo WATAALAMU wake wa AFYA wanafanya kazi nje ya nchi yao
Kunawakati fulani wa awamu ya nne Rais mstaafu KIKWETE akiwa nje ya nchi aliwah kuhutubia watanzania walioko nje warudi nchini wajenge nchi yao hususani WATAALAMU wa AFYA

Sasa wewe unasema madaktari hawatakiwi Ulaya? Nawakati watu wapo wanafanya kazi
Huo ni uongo na hauna tofauti na adui namba moja wa taifa kwa sasa (mamluki)
Unaitaji kuchunguzwa.
Hao wamesomea hukohuko na ndio wapo
Tunaongelea waliosemea kwenye huo mfumo wa baraza la mavi NECTA
Weka vielelezo vya waliosoma utopoloni na wakapata kazi nje ie Europe or US moja kwa moja
Fuatilia Wakenya ndio utajua kinachoendelea, MMELALA MNO
We kula Vumbi huko uliko na endelea kushabikia upuuzi wenu wa NECTA
Adui wa kiinchi kama bongo? Fwamba kabisa
 
Back
Top Bottom