monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,265
- 11,304
Toka nizaliwe sijawahi kuona mtu muongo kama weweHuyu mwanafunzi hakuwahi kuongoza matokeo ya kidato cha sita, mwaka 2006.
Hata huu wastani wa kupata 98 sio kweli na alipaswa kuchukuliwa hatua na serikali kwa KUPOTOSHA umma.
Na isitoshe hakuna orodha yoyote ya wanafunzi bora iliyokuwa ikitolewa na serikali miaka ya nyuma.
Orodha ya wanafunzi bora kuanzia darasa la saba, kidato cha nne na kidato cha sita imeanza kutolewa mwaka 2016, kipindi cha rais Magufuli.