cipher_
Senior Member
- May 6, 2020
- 168
- 150
Tafuta hela...Google haina habari za mtu huyu.
Uzi niliona una vingi haujaaddress nikaamua kwenda google, hakuna hata link moja.
Nilianza na 'Sidney Atemesi' nikaja na 'Sidney Atemes kenyan' nikaja na 'Sidney atemes kenyan bbc' zote hola
Tafuta hela...
You are very right in your last paragraph.Ninaweza tumia hata wiki nikisoma article na studies kuhusu mada ya aina moja tu. Wakati wewe waweza tumia muda kama ninaotumia mimi kusoma articles kwa ajili ya kutafuta hela.
Hii inakumaanishia kitu chochote?
Haimaanishi 'mind your own business' ila inamaanisha kila mtu 'is good at something' na kwakua you are good at making money I guess you are millionaire, right?
Respect dada/ kaka.You are very right in your last paragraph.
Kaka mkubwa....Respect dada/ kaka.
Respect kaka mkubwaKaka mkubwa....
ili UKE uzibwe atolewe na uterusKuna raia watakuja kudai picha za uume na uke.
Ni umaskini tu lakini hapo kwenye uke alitakiwa pazibwe.
Anaruhusiwa na nani?Hivi huyu ndio anaruhusiwa kuwa lesbo au gay?
Umekosea jina, andika Sidney Etemesi.Google haina habari za mtu huyu.
Uzi niliona una vingi haujaaddress nikaamua kwenda google, hakuna hata link moja.
Nilianza na 'Sidney Atemesi' nikaja na 'Sidney Atemes kenyan' nikaja na 'Sidney atemes kenyan bbc' zote hola
Yea kwa jina hili nimekuta. Ila niliandika jina ambalo limeletwa kwenye uzi...Umekosea jina, andika Sidney Etemesi.
Pazibwe tu sio afanyiwe upasuaji hadi viungo vya ndani? Hiyo hedhi je?Kuna raia watakuja kudai picha za uume na uke.
Ni umaskini tu lakini hapo kwenye uke alitakiwa pazibwe.
Sasa kwani atazibwa tu nje?Pazibwe tu sio afanyiwe upasuaji hadi viungo vya ndani? Hiyo hedhi je?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sidhani kama binadamu anaitwa hermaphrodite,maana Mimi najua hermaphrodite ni viumbe kwenye jinsia mbili ila binadamu hayumo,na hawa ni kama vile konokonoAnaruhusiwa na nani?
ANAITWA
A hermaphrodite is a person that has both male and female sexual organs.
Anaruhusiwa na nani?
ANAITWA
A hermaphrodite is a person that has both male and female sexual organs.
TransgenderMkuu sidhani kama binadamu anaitwa hermaphrodite,maana Mimi najua hermaphrodite ni viumbe kwenye jinsia mbili ila binadamu hayumo,na hawa ni kama vile konokono
Kwa binadamu najua wanaitwa Bi-sex,wataalamu watanirekebisha
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app