Mfahamu Profesa Safari anayetaka kumng'oa Prof Lipumba

Giro

JF-Expert Member
Feb 9, 2009
359
22
Source: Taifa Tanzania

Chama cha CUF kinatarajia kufanya Mkutano Mkuu wake Ijumaa ijayo February 27,mwaka huu ambapo Profesa Abdallah Jumbe Saffari anawania nafasi ya Uwenyekiti,nafasi ambayo kwa hivi sasa inashikiliwa na Profesa Ibrahimu Lipumba ambaye ameshika nafasi hiyo kwa zaidi ya miaka kumi sasa.

Profile:
Profesa Safari alizaliwa June 3, 1951.

Education background:
1972- Secondary,
1979- University of Dar es salaam shahada ya sheria (LLB),
1985- Master (LLM),
1995- (PhD) University of Sussex England.Baada ya kupata shahada hiyo
alibaki England akawa anafundisha,
2000- Alitunukiwa u Profesa.

Work Experience
1972-1974 Matafiti msaidizi katika taasisi ya Institutes of Kiswahili Research
1974-1976 Mhariri katika kampuni ya Tanzania Publishing House
1979-1986 Wakili wa serikali katika wizara ya sheria
1988-1991 Afisa Mtafiti na uchapishaji katika kituo cha Uhisiano wa nje then
Mhadhiri mwandamizi wa sheria katika kituo hicho Nyazifa(Vyeo)
alivyowahi kushika;
1978-1986 Mwenyekiti wa Chama cha wanasheria wa chuo Kikuu cha Dar es
Salaam
1982-1984 Mhadhiri wa sheria university of Dar es Salaam
1983-1986 Mkuu wa Kitengo cha sheria ,wizara ya sheria
1984-1986 Mwakilishi wa wizara ya sheria katika baraza la elimu ya sheria
Africa Mashariki
1990-1991 Kaimu Mkurugenzi wa masomo na program katika kituo cha
mahusiano ya kimataifa
1996-Hadi sasa, Mwenyekiti wa chama cha wandishi wa Vitabu Tanzania
(UWAVITA),pia Mkurugenzi wa Masomo na programu wa kituo cha
uhusiano wa Kimataifa
1999-Hadi sasa, Katibu Mkuu wa Tanzania Center for Conflict Resolution,
also Mkurugenzi wa bodi ya hakimiliki(COSOTA)

Makongamano:
1978-Alihudhuria mikutano kadhaa ya Kimataifa kuhusiana na mambo ya
sheria barani Africa huko Nairobi (All African Law Students Association)
Aidha,amewahi kuhudhuria makongamano mbalimbali yaliyohusu
mambo ya sheria katika sehemu zifuatazo,Africa
Kusini,Sweden,Geneva,Botswana,Uganda na Marekani.

Tuzo alizowahi kupata:
1991-alitunukiwa tuzo iitwayo Ford Foundation Scholarship for Doctor of
Philosophy programme
1999-2001, Shaaban Robert Literary

Maisha yake:
Ameoa na ana watoto wawili.
Prof anasema anawania Uenyekiti wa CUF kwa kuwa anataka kuleta mabadiliko makubwa ndani ya chama ili kionekane ni cha kitaifa.Alisema bila mbadiliko chama kinaweza kufa.
Prof hivi sasa ni wakili katika Mahakama Kuu ya Tanzania,amekuwa katika uwakili tangu 1987.
........................................
Kazi kwenu wana CUF ,kuchagua nazi au koroma siku ikijiri(27/02/2009),kila la kheri katika uchaguzi wenu.
 
Back
Top Bottom