Mfahamu ‘plover bird’, mswaki wa mamba

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,000
9,861
Moja kati ya jambo la kustaajabisha kwa kiumbe mamba ni kuwa hana ulimi, uchafu anaouzalisha kinywani kutokana na chakula anachokula husafishwa na ndege

Plover Bird ni ndege pekee ambaye huingia kinywani mwa mamba na mamba huwa hamli ndege huyu

Anachokifanya Plover kinywani mwa mamba ni kula uchafu unaokuwa kwenye meno ya mamba, hivyo huwa kama mswaki wake. Yeye hutoka akiwa ameshiba na mamba hubaki na kinywa safi

Ni jambo la ajabu katika utegemezi wa Mamba na Plover Bird kwa kuwa viumbe wengine wakiingia kinywani mwa mamba huwa wanaishia kuliwa

1614420590772.png
 
hiyo inaitwa symboatic relationship
...kama alivyo ndege anaitwa buffalo weaver au cattle egret wanavyokula kupe na tsetse fly kwa wanyama wengine km nyati!
usiombe uumwe na mbungo(tsetse fly)ni zaidi ya sindano ya ospitali.ndio wanaoleta ugonjwa wa malale ule unakuwa unasinzia hata bafuni ukiwa unaoga
 
Moja kati ya jambo la kustaajabisha kwa kiumbe mamba ni kuwa hana ulimi, uchafu anaouzalisha kinywani kutokana na chakula anachokula husafishwa na ndege

Plover Bird ni ndege pekee ambaye huingia kinywani mwa mamba na mamba huwa hamli ndege huyu

Anachokifanya Plover kinywani mwa mamba ni kula uchafu unaokuwa kwenye meno ya mamba, hivyo huwa kama mswaki wake. Yeye hutoka akiwa ameshiba na mamba hubaki na kinywa safi

Ni jambo la ajabu katika utegemezi wa Mamba na Plover Bird kwa kuwa viumbe wengine wakiingia kinywani mwa mamba huwa wanaishia kuliwa

View attachment 1713019
 
Mkuu
Thread Hii Ni Nzito Sana Hatuwezi Kuendelea Na Mjadala Bila Picture Ya Huyo Ndege!!
Tumekwama Wapi Sasa Hivi Kuweka Picture
 
38 Reactions
Reply
Back
Top Bottom