ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 8,572
- 7,218
Kama ujaelewa basi uelewi tena, Utanzania ni mipaka ya wazungu, lakini asili ni chimbuko hivyo kwa kutofautiana chimbuko ndio tofauti utokea, ndio maana Turkey anapata tabu na Wakurdi mpaka leo, maana aliegawanya ile mipaka akuwazingatia wao ni wengi sana na wanachimbuko tofauti na hao wa turkey , mpaka sasa wanadai nchi yao wenyewe maana wanatosha sanaUnajua Wafina na Watu wa songea asili yao ni S.A ila wote watanzania
hao wote ni waafrika so hao ni waarabu tu