Mfahamu Naftali Bennett, Waziri Mkuu mtarajiwa wa Israel

Unajua Wafina na Watu wa songea asili yao ni S.A ila wote watanzania


hao wote ni waafrika so hao ni waarabu tu
Kama ujaelewa basi uelewi tena, Utanzania ni mipaka ya wazungu, lakini asili ni chimbuko hivyo kwa kutofautiana chimbuko ndio tofauti utokea, ndio maana Turkey anapata tabu na Wakurdi mpaka leo, maana aliegawanya ile mipaka akuwazingatia wao ni wengi sana na wanachimbuko tofauti na hao wa turkey , mpaka sasa wanadai nchi yao wenyewe maana wanatosha sana
 
Kama ujaelewa basi uelewi tena, Utanzania ni mipaka ya wazungu, lakini asili ni chimbuko hivyo kwa kutofautiana chimbuko ndio tofauti utokea, ndio maana Turkey anapata tabu na Wakurdi mpaka leo, maana aliegawanya ile mipaka akuwazingatia wao ni wengi sana na wanachimbuko tofauti na hao wa turkey , mpaka sasa wanadai nchi yao wenyewe maana wanatosha sana
Waajemi ni.Waarabu.tu kama.wa saudia
 
Iran alishamlimisha sana Israel mashamba, au unafikiri Iran ni Tanzania? acha kufananisha wa Iran na waarabu wako wala urojo
Nasemaje..iran hawana akil hyo...general wao yule mlipuaj mabomu.alitoweshwa sebulen kwao kabisa...iran bure kabisaaa..yaan ndo muslim territory iliyobak dunian ila wanavyonyooshwa had huruma nakumbuka walivyokua wanaomba msaada kwenye korona..dah aibu..wanawaomba wamarekan..dah
 
Iran alishamlimisha sana Israel mashamba, au unafikiri Iran ni Tanzania? acha kufananisha wa Iran na waarabu wako wala urojo
Nasemaje..iran hawana akil hyo...general wao yule mlipuaj mabomu.alitoweshwa sebulen kwao kabisa...iran bure kabisaaa..yaan ndo muslim territory iliyobak dunian ila wanavyonyooshwa had huruma nakumbuka walivyokua wanaomba msaada kwenye korona..dah aibu..wanawaomba wamarekan..dah
 
Nasemaje..iran hawana akil hyo...general wao yule mlipuaj mabomu.alitoweshwa sebulen kwao kabisa...iran bure kabisaaa..yaan ndo muslim territory iliyobak dunian ila wanavyonyooshwa had huruma nakumbuka walivyokua wanaomba msaada kwenye korona..dah aibu..wanawaomba wamarekan..dah
Kama kweli ni bure kwanini Israel anahaha kila uchwao kuhusu Iran? jana Netanyahu alipokuwa anaaga hotuba yake ya mwisho bado analialia kwa Marekani kwanini amekubali kuzungumza na Iran, sasa nashangaa nyie mnapoona Iran ni kama Tanzania
 
Kama kweli ni bure kwanini Israel anahaha kila uchwao kuhusu Iran? jana Netanyahu alipokuwa anaaga hotuba yake ya mwisho bado analialia kwa Marekani kwanini amekubali kuzungumza na Iran, sasa nashangaa nyie mnapoona Iran ni kama Tanzania
Hi.
Mada kama hizi zinatakiwa zijadiliwe na watu huru, ukishakuwa na mrengo fulani, ni lazima upate shida sana. Iran ni kijogoo kinachoinuka na pengine kinaweza kuja kuwa tishio siku za usoni tuendako. Western world wanamwona Iran ni kimeo tangu mapinduzi matukufu ya Iran 1979(kama sijakosea) yaliyomwondosha Shah wa Iran aliyekuwa kibaraka wa USA.
Kutawala dunia ni tamanio la hawa wenzetu wa Magharibi kwa njia yo yote ile. Anapotokea mwenye dalili za kupingana nao, basi huyo ni lazima aondoshwe kwa gharama yo yote.

Kwa wasio jua, Uajemi ni dola lililowahi kutawala dunia ya zamani hizo, kwa hiyo usiwabeze hata kidogo. Miaka hiyo ya Babeli hawa jamaa walikuwepo, Warumi waliwakuta tayari wana dola imara.
 
Back
Top Bottom