Kazi bado mbichi, kumkabili mkoloni mweusi🤔.Kwa Ufupi sana Mwambegele ametokea ndani ya Tume ya Uchaguzi , akiwa Mjumbe , Jambo hili ni zuri maana mtu huyu anao uzoefu wa masuala mengi yanahusu Uchaguzi na Tume yenyewe .
Kingine cha Muhimu sana unachotakiwa kufahamu kuhusu Mtukufu Jaji Mwambegele ni hiki , HUYU NI MIONGONI MWA MAJAJI WALIOKUBALI RUFAA YA SERIKALI YA KUNG'ANG'ANIA WAKURUGENZI WA HALMASHAURI KUENDELEA KUWA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI , Hukumu hiyo iliamriwa kwamba hata kama Wakurugenzi ni makada wa ccm ikifika kwenye uchaguzi WATAAPA KWAMBA HAWATAKUWA NA CHAMA CHOCHOTE CHA SIASA , yaani watakuwa neutro . Aliyetoa hukumu ya aina hii sasa ndio MWENYEKITI WA TUME YA UCHAGUZI , ambaye ndio bosi wa MA DED watakaoapa na kujivua uccm wao !
labda kwa faida ya Wanajf na wengine ambao hawalijui jambo hili , nitawakumbusha kidogo kilichojiri , Mwanaharakati BOB CHACHA WANGWE na wengine walifungua kesi Mahakamani kupinga Wakurugenzi wa Halmashauri , ambao almost 100% ni wanachama hai wa ccm kuwa wasimamizi wa Uchaguzi , lengo la kuwapinga lililenga kusaidia uchaguzi kuwa huru na haki , maana kiuhalisia wanaccm hawawezi kukubali mwanachama mwenzao ashindwe uchaguzi .
Mahakama ilikubali na ikawafutilia mbali wakurugenzi hao kuwa Wasimamizi wa uchaguzi , kitendo kilichoiogopesha serikali ya ccm na kuamua kukata rufaa ambayo miongoni mwa walioisikiliza na kuwarudisha Wakurugenzi kusimamia uchaguzi yumo huyu Mwambegele ambaye leo kala shavu .
Mytake : Kama ulidhani Mapambano ya kutafuta haki ni safari fupi basi utakuwa umejidanganya sana !
Achana na Tundu Lissu. Tunahitaji Katiba Mpya.Wazee wa nyutro ........hyo tume hata ateuliwe Tundu Lissu bado CCM itashinda kwa kishindo tu
Tunataka katiba mpya
Mtemi Hangaya keshamweka huyu hapaKwa Ufupi sana Mwambegele ametokea ndani ya Tume ya Uchaguzi , akiwa Mjumbe , Jambo hili ni zuri maana mtu huyu anao uzoefu wa masuala mengi yanahusu Uchaguzi na Tume yenyewe .
Kingine cha Muhimu sana unachotakiwa kufahamu kuhusu Mtukufu Jaji Mwambegele ni hiki , HUYU NI MIONGONI MWA MAJAJI WALIOKUBALI RUFAA YA SERIKALI YA KUNG'ANG'ANIA WAKURUGENZI WA HALMASHAURI KUENDELEA KUWA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI , Hukumu hiyo iliamriwa kwamba hata kama Wakurugenzi ni makada wa ccm ikifika kwenye uchaguzi WATAAPA KWAMBA HAWATAKUWA NA CHAMA CHOCHOTE CHA SIASA , yaani watakuwa neutro . Aliyetoa hukumu ya aina hii sasa ndio MWENYEKITI WA TUME YA UCHAGUZI , ambaye ndio bosi wa MA DED watakaoapa na kujivua uccm wao !
labda kwa faida ya Wanajf na wengine ambao hawalijui jambo hili , nitawakumbusha kidogo kilichojiri , Mwanaharakati BOB CHACHA WANGWE na wengine walifungua kesi Mahakamani kupinga Wakurugenzi wa Halmashauri , ambao almost 100% ni wanachama hai wa ccm kuwa wasimamizi wa Uchaguzi , lengo la kuwapinga lililenga kusaidia uchaguzi kuwa huru na haki , maana kiuhalisia wanaccm hawawezi kukubali mwanachama mwenzao ashindwe uchaguzi .
Mahakama ilikubali na ikawafutilia mbali wakurugenzi hao kuwa Wasimamizi wa uchaguzi , kitendo kilichoiogopesha serikali ya ccm na kuamua kukata rufaa ambayo miongoni mwa walioisikiliza na kuwarudisha Wakurugenzi kusimamia uchaguzi yumo huyu Mwambegele ambaye leo kala shavu .
Mytake : Kama ulidhani Mapambano ya kutafuta haki ni safari fupi basi utakuwa umejidanganya sana !
Safi sana mkuuNgoja tuingie chimboni, tutarudi muda mfupi ujao.
- Adam Rashid Chohora..Plaintiff Vs Knight Support...Defendant Comm Case No.88 Of 2013 Ruling Hon.Mwambegele,J
Mwambegele, J.: (HC-DAR ES SALAAM, 2015)
This is a ruling in respect of a preliminary objection raised by Mr. Sinare, learned counsel for the defendant Knight Support (T) Ltd to the effect that the lifespan of the suit filed by Adam Rashid Chohora; the ...- Afriscan Group Ltd...Plaintiff Vs Said Msangi..Defendant Comm Case No.87 Of 2013 Ruling Hon.Mwambegele,J.
Mwambegele, J.: (HC-DAR ES SALAAM, 2015)
This is a ruling in respect of a prayer made by Mr. Mbamba, learned counsel for the defendant for a summons to issue to a witness from the Business Registrations and Licensing Agency (BRELA) and directions on whether ...- Baytrade T.Ltd...Plaintiff Vs Board Of Strustees..Defendant Comm Case No.86 Of 2014 Judgement Hon.Mwambegele,J
Mwambegele, J.: (HC-DAR ES SALAAM, 2015)
Before me is this suit filed by the plaintiff Bytrade Tanzania Limited against the defendant Board of Trustees of Tandahimba Farmers Agricultural Input Trust Fund asking for judgment and decree.- Educational Books...Plaintiff Vs Hasham Kassam...Defendant Comm Case No.5 Of 2011 Ruling Hon.Mwambegele,J
Mwambegele, J.: (HC-DAR ES SALAAM, 2015)
This is a ruling in respect of a preliminary objection raised by Mr. Shirima, learned counsel for the defendants Hasham Kassam & Sons Ltd, Issa Ltd, Unionaire Ltd and Bank M Ltd against the plaintiff Educational Books ...- Gosbert Mutagaywa..Plaintiff Vs Jamila Kassim..Defendants Comm Case No.162 Of 2014 Ruling Hon.Mwambegele,J.
Mwambegele, J.: (HC-DAR ES SALAAM, 2015)
The plaintiff, a natural person, instituted this suit against the defendants jointly and severally for breach of contract, and particularly for the defendants' failure to repay the loan of Tshs. 100,000,000/= which ...- Hass Petroleum T. Ltd..Appl Vs Richard Nehemia..Respondent Misc. Comm Cause No.93 Of 2015 Ruling Hon.Mwambegelle,J
Mwambegele, J.: (HC-DAR ES SALAAM, 2015)
By a Chamber Summons made ex parte, the applicants - HASS Petroleum (T) Limited and Fleet Logistics (T) Limited - have proffered this application seeking for, inter alia, extension of time to advertise the decree of ...- Mbeya Cement ...Applicant Vs Kundah Singh...Respondent Misc. Comm Cause No.232 Of 2014 Ruling Hon.Mwambegelle,J.A
Mwambegele, J.: (HC-DAR ES SALAAM, 2015)
This is a ruling in respect of an application brought by the applicant Mbeya Cement Company (henceforth "the applicant") seeking the indulgence of this court to set aside the dismissal order it made on 06.02.2014.- Mps Oil Tanzani Ltd..Appl Vs Citibank T. Ltd..Respondent Misc.Appl No.248 Of 2014 Ruling Hon.Mwambegele,J
Mwambegele, J.: (HC-DAR ES SALAAM, 2015)
The three applicants in this application are judgment debtors, following a judgment and decree which was entered against them in Commercial Case No. 80 of 2013 and by which they were ordered to pay the respondents a ...- National Bank Of Comm ..Plaintif Vs Mm Worldwide..Defendant Comm Case No.166 Of 2014 Ruling Hon.Mwambegele,J
Mwambegele, J.: (HC-DAR ES SALAAM, 2015)
This is a ruling in respect of a preliminary objection raised by MIS Appex Attorneys for and on behalf of the defendants - MM Worldwide Trading Company Limited, Jacob Fredrick Msaki and Annete Jacob Msaki - to the effect ...- National Chicks Ltd...Applicant Vs Nbc..Respondent Misc. Com. Cause No.115 Of 2015 Ruling Hon.Mwambegele,J
Mwambegele, J.: (HC-DAR ES SALAAM, 2015)
In the course of arguing preliminary points of objection (henceforth "the PO") in Miscellaneous Commercial Cause No. 36 of 2015 in which the five applicants; National Chicks Corporation Limited, Issack Bugali Mwamasika, ...- Nic..Appl Vs Nmb..Respondent Misc.Comm Cause No.304 Of 2014 Ruling Hon.Mwambegele,J
Mwambegele, J.: (HC-DAR ES SALAAM, 2015)
Before me is a Tax Reference preferred by National Investments Company Limited, Felix Gamaliel Mosha and Kathleen Armstrong (henceforth "the applicants") against the National Microfinance Bank PLC (henceforth "the ...- Puma Energy..Appl Vs Spec Check Enterprises..Respondent Consolidated Misc.No.233 Of 2014 Hon.Mwambegele,J
Mwambegele, J.: (HC-DAR ES SALAAM, 2015)
The two applications were consolidated by his Lordship Nyangarika, J. certainly due to their nature as they appear to proceed from one another and so interrelated. Whereas Miscellaneous Commercial Cause No. 233 of 2014
TanzaniaHii katiba mpya bandugu mnaitaka hapa jamiiforum au Tanzania
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
KATIBA MPYA kwanza, acha porojo.Mgombea Urais wa CDM 2015 alikuwa ni mwanachama hai wa CCM...Mgombea Urais wa CDM 2010 hakuwahi kurudisha kadi ya CCM, kifupi alikuwa mwanachama wa CCM...
Yaaa inasikitisha mimi mwenywe najiuliza kama yaani nchi hii wengi ni mazuzu.chanzo yote haya ni nyerereHiki kichekesho kipo Tanzanian tuuu. Mgombea wa chama A nateuwa msimamizi wa uchaguzi ambao na yeye soon atakwenda kuwa mgombea. Tanzania bado Sana.
http://lukemusicfactory.blogspot.com › ...
Jaji Lubavu: wajumbe tume ya uchaguzi wachaguliwe na wadau
19 Jan 2013 — MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), Jaji Mstaafu Damian Lubuva ametoa maoni mbele ya Tume ya Katiba
I am sorry, rubbish as the previous one!Kwa Ufupi sana Mwambegele ametokea ndani ya Tume ya Uchaguzi , akiwa Mjumbe , Jambo hili ni zuri maana mtu huyu anao uzoefu wa masuala mengi yanahusu Uchaguzi na Tume yenyewe .
Kingine cha Muhimu sana unachotakiwa kufahamu kuhusu Mtukufu Jaji Mwambegele ni hiki , HUYU NI MIONGONI MWA MAJAJI WALIOKUBALI RUFAA YA SERIKALI YA KUNG'ANG'ANIA WAKURUGENZI WA HALMASHAURI KUENDELEA KUWA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI , Hukumu hiyo iliamriwa kwamba hata kama Wakurugenzi ni makada wa ccm ikifika kwenye uchaguzi WATAAPA KWAMBA HAWATAKUWA NA CHAMA CHOCHOTE CHA SIASA , yaani watakuwa neutro . Aliyetoa hukumu ya aina hii sasa ndio MWENYEKITI WA TUME YA UCHAGUZI , ambaye ndio bosi wa MA DED watakaoapa na kujivua uccm wao !
labda kwa faida ya Wanajf na wengine ambao hawalijui jambo hili , nitawakumbusha kidogo kilichojiri , Mwanaharakati BOB CHACHA WANGWE na wengine walifungua kesi Mahakamani kupinga Wakurugenzi wa Halmashauri , ambao almost 100% ni wanachama hai wa ccm kuwa wasimamizi wa Uchaguzi , lengo la kuwapinga lililenga kusaidia uchaguzi kuwa huru na haki , maana kiuhalisia wanaccm hawawezi kukubali mwanachama mwenzao ashindwe uchaguzi .
Mahakama ilikubali na ikawafutilia mbali wakurugenzi hao kuwa Wasimamizi wa uchaguzi , kitendo kilichoiogopesha serikali ya ccm na kuamua kukata rufaa ambayo miongoni mwa walioisikiliza na kuwarudisha Wakurugenzi kusimamia uchaguzi yumo huyu Mwambegele ambaye leo kala shavu .
Mytake : Kama ulidhani Mapambano ya kutafuta haki ni safari fupi basi utakuwa umejidanganya sana !
I am sorry, rubbish as the previous one!
Ile tume ya msajili niyanini sasa kama teuzi zinaendekea kwa matakwa yaleyale.Hata kama asingekuwa na udhaifu huo ulioweka hapo juu, kule tu kuteuliwa kwake na mwenyekiti wa CCM kushika hiyo nafasi kwangu ameshapoteza sifa muhimu sana, hafai.
Katiba Mpya ianze haya "mazingaombwe" ya teuzi ya kila wakati hayana maana tena.
kutoka mkoa gani? Mbeya? Mwa Mwa Mwa ni Mbeya I guessMtemi Hangaya keshamweka huyu hapa
View attachment 2059727
Mambo ni yaleyale, vilevile kwa ukandamizaji uleule
Mchawi wa watanzania ni Nyerere aliwapumbaza mpaka leo!Yaaa inasikitisha mimi mwenywe najiuliza kama yaani nchi hii wengi ni mazuzu.chanzo yote haya ni nyerere