Raphael gadau
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 1,005
- 303
hatari
kwani hiyo tecno anadesign nani na anatengeneza nani!?Yah, Foxconn nawafahamu kama ndo watengenezaji. But huwezi tengeneza kitu ambacho hujadesign kitafananaje. So katika simu designing ndiyo crucial part na hii inafanywa na apple wenyewe. Huku software iOs pia wakiisuka wao.
Dunia hii ni akili tu, niliwai wasiliana na wachina flan kupitia Alibaba, walinambia naweza agiza Tv zikianzia 1000 basi wanaweka jina lqngu na specification nnazotaka mimi. Wachina mbona hawana nomakwani hiyo tecno anadesign nani na anatengeneza nani!?
mimi naona same applies kama hao apple tu.
kweli kabisa wachina wako vizuri kwenye technology hata Jose chameleon nae alikuwa anazo pikipiki zilizotengenezwa kwa jina lakeDunia hii ni akili tu, niliwai wasiliana na wachina flan kupitia Alibaba, walinambia naweza agiza Tv zikianzia 1000 basi wanaweka jina lqngu na specification nnazotaka mimi. Wachina mbona hawana noma
Na ndg anaejiita bilionea kijana Africa nae ana track zina jina Lake la big M" na O" kubwa.kweli kabisa wachina wako vizuri kwenye technology hata Jose chameleon nae alikuwa anazo pikipiki zilizotengenezwa kwa jina lake
alikuwa na soko zuri tu Uganda sijui kama siku hizi bado zipo
Kuna faida nyingi sana kuweka kiwanda china.Lakini Apple iPhone nayo inatengenezwa China.