kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Nchi hii kuna vilaza wengi sana.
Ulitegemea baada ya mtu kuwa hispitali muda wote huo aendelee na marshal arts
Ulitegemea baada ya mtu kuwa hispitali muda wote huo aendelee na marshal arts
Labda unachanganya, bonge'' yaani kuwa na mwili mkubwa ambapo ni genetics watu wanazaliwa hivyo vs unene mwili kujaa mafuta, Tundu lisu amejaa mafuta kuna tofauti hapo, huyo Komandoo wako simjui lkn kama ni kweli ni mtu wa marshal arts na ni komandoo wa Jeshi basi inawezakana ana mwili mkubwa tu ambao amezaliwa nao lkn hawezi kuwa amejaa mafuta kama Tundu Lissu.