Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 11,634
- 26,369
Ukishatishiwa uhai huwezi kutabiri adui yako atakuja kwa njia ipi, wakitumia sumu hapo mlinzi anakusaidiaje?Kama hayo yote yangekuwa kweli, Lissu asingeondoka kwa kuogopa kutishiwa.
Ukishatishiwa uhai huwezi kutabiri adui yako atakuja kwa njia ipi, wakitumia sumu hapo mlinzi anakusaidiaje?Kama hayo yote yangekuwa kweli, Lissu asingeondoka kwa kuogopa kutishiwa.
Mahojiano sehemu ya kwanzaJamaa namkubali sana kwa kumuona, ingawa sikuwa najua jina lake. Interview yake umeiona wapi? Unaweza ukaturushia link tuone.
Ni vigumu sana kuwaelewa watu hawa, japo wao mara zote hufikiri kuwa tunawaelewaMhhh..
Sijaelewa kiaina!
Marshal arts ndiyo nini?Mimi nimefanya na naendelea kufanya marshal arts jiu jitsu ya Kibrazili, hakuna mtu anayefanya marshal arts akawa kibonge na mentally unstable namna hiyo kama Tundu Lissu, ondoeni porojo zenu hapa, ...
Asante mkuu, itakuwa kweli hamfahamu Sammo Hung.mkuu hiko sio kigezo kuna raia wa kuitwa samo hung ni kibonge ila balaa
Hapo sasa???!!!Kwanini Lissu anakuwa na hofu, wakati ana walinzi mahiri kama huyu mkulungwa, martial arts expert mwenye vigezo na masharti.
Akipigwa na mdunguaji kwa mbali kina msaada kweli?
Maswali gani ten haya?Hebu tuambie wenye Bunduki za kawaida huwa zina wasaidia vipi wakiwa kwenye anga za Sniper !?
Kwanini Lissu anakuwa na hofu, wakati ana walinzi mahiri kama huyu mkulungwa, martial arts expert mwenye vigezo na masharti.
Lakini ajakimbia.Hata boss wako pamoja na walinzi wote Hadi kumiliki wasiojulikana still bado ni muoga
Lakini ajakimbia.
Mwambie pia, yule mlinzi wa Magufuli yule wa usalama asimwone bonge, anapiga hatarii..Unamaanisha nini? Kwamba ukiwa mnene huwezi fanya martial arts au ukifanya martial arts huwezi kunenepa?
Kuna 'mwanangu' alikuwa akinifundisha hizo mambo miaka ya 2000 mwanzoni, kwa sasa ni komando wa jeshi. Huyu jamaa ni bonge kabla hajawa soldier na sasa bado ni bonge.
Nilikutana naye kipindi flani hapa nyuma, nikamtania kwa mwili huu we ni 'komando hewa', kuna tukio alilifanya pale mbele ya watu kila mtu akabaki mdomo wazi. Jamaa ni bonge ila ni mwepesi kuliko 'vimbaumbau'.
Ata raia wa nchi nyingi za jirani wanamtaka.wanatamani wapate Rais kama JPM.Wapi wanamtaka
Mimi mwenyewe sijui nimeangalia gugo transleti inaitwa sanaa ya kijeshiMartial arts ni nini jamani
Ata raia wa nchi nyingi za jirani wanamtaka.wanatamani wapate Rais kama JPM.
Mimi nimefanya na naendelea kufanya marshal arts jiu jitsu ya Kibrazili, hakuna mtu anayefanya marshal arts akawa kibonge na mentally unstable namna hiyo kama Tundu Lissu, ondoeni porojo zenu hapa, ...