Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,173
- 27,223
Kama hayo yote yangekuwa kweli, Lissu asingeondoka kwa kuogopa kutishiwa.
Wakuu habari,
Ktk pitapita zangu mitandaoni nimekutana na interview ya huyu jamaa ambae alikuwa mlinzi wa Aliyekuwa mgombea uraisi Kupitia Chadema ndugu Tundu Lissu.Kwa jina anaitwa Renatus Charles Hangaya.
Hakika interview ile imenisisimua na kushawishika kutaka kumjua zaidi jamaa.Anaonekana ni mtu makini na kuna kitu ndani yake.Pia lile dude(silaha)alilokuwa nalo kama ulinzi wao.
Je kuna yeyote anaemfaham kwa maelezo zaidi?