Mfahamu mdudu kunguni (bedbugs) na jinsi ya kumuangamiza

tafuta nogozone 60EC then kapige chumba fulia nguo kianda mwagia dawa foronya fulia chaga inakuwaga wagumu kutoka ila chemsha maji ya moto sana simamisha chaga mwagia toka juu kuja chini ili na mayai yapasuke unipe jibu
 
Ndugu zangu, tunaangamizwa na kunguni hatulali, hatuwakaribishi wageni kwa sababu ya kunguni. Tumefikia hatua ya kutaka kujenga nyumba mpya kwa sababu ya KUNGUNI,mtusaidie namna ya kuwatokomeza!

Urongo...
 
haha, mtoa mada umenikumbusha enzi zilee za shule, yaan bweni zima full kunguni lakin watu wanapiga usingiz kama kawaida.
 
kama upo dar nenda duka la dawa za mifugo pale ilala karibu na ghorofa jipya linalojengwa la nssf pale kuna duka la pembejeo za mifugo na dawa
 
Njoo korogwe ttc ndio wazalishaji wakubwa wa kunguni dawa pia ipo bei maelewano pia tunauza mbegu za kunguni kiasi unachotaka-kAribu sana
 
Kunguni sio sababu ya uchafu.:llama::llama::llama::llama::llama::llama::llama::llama::llama::llama:
 
nakumbuka miaka ya nyuma kwa bibi yangu tukitunia DIAZON...... hii ni kiboko, ama pia uweka mbali na watoto HAIKOPESHI.
Naomben mnisaidie dawa itakayo maliza kunguni maana wamevamia chumba changu
na pia nimeckia ile dawa ya RUNGU spray yaweza ua kunguni je hii ni kweli?
Msaada please namna ya kuwatoa hawa wadudu!
 
nahisi uchafu ndo unaofanya hao wadudu waazalieni kwa wingi

kwani wanapenda sana kukaa sehemu zenye mavumbi

mkuu fanya furmigation kwa 3week wataondoka tu hao na hakikisha unafanya usafi wa kila siku au wiki pole
 
Mkuu finder Boy,,

Je vipi mrejesho umefanikiwa kuwadhibiti hao kunguni?

Hata mimi nina tatizo hilo hilo...

Kiukweli, sikuwahi kuwaona kunguni nyumbani kwangu. Kama miaka miwili nilitengeneza kitanda kidogo cha mtoto. Kuanzia hapo tukaona hao wadudu.. tukahisi labda ni aina ya mti wa mbao unawavutia.... Halafu tukasikia mahali zile net zilizotolewa na serikali nazo zimeleta kunguni sina hakika..lakini nimesikia malalamiko hayo. Net nilizichoma moto zote.

Tulitumia mchanganyiko wa dawa nuvan, diozone nk , wakapotea.... lakini wakarudi tena kwenye chumba cha watoto wengine..

Jamani jamvini hakuna mwenye experience ya kuwashughulikia hao wadudu? Watalaam wa vyuo au makampuni kama Rentokil.....
 
Jamani kunguni wamevamia kitanda changu leo siku ya tatu.... yaani usiku wa jana sijalala kabisa wamenishambulia vibaya mno... hapa mwili wote umevimba,unawasha na unauma..
mwenye dawa ya kuua kunguni na wasirudi tena anitajie maana nshatumia dawa kibao bila mafanikio...
msaada wenu wakuu maana daaaah hawa wadudu watanitoa roho mwaka huu... wananitesa sana,nashindwa kufurahia maisha hasa inapofika usiku.
 
Pole mkuu hao wadudu ni noma, ukishindwa dawa za kupulizia watafute wale jamaa wa fumigation huwa ni msaada sn, especially km upo Dar
 
Back
Top Bottom