Mfahamu Marehemu Dr Sebi

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,270
Dr Sebi alizaliwa Honduras, alifanikiwa kutibu AIDS, cancer, kisukari, lupus na kifafa. Miaka ya 1980 alichapisha tangazo kwenye gazeti la New York Post "AIDS has been cured by USHA Research Institute, and we specialize in cures for Sickle Cell, Lupus, Blindness Hepers, Cancer and others" Tangazo hili liliifanya idara ya dawa na chakula ya Marekani kumfungulia kesi Dr Sebi kwa kutoa tangazo la uongo na kuendesha biashara ya matibabu bila ya leseni. Dr Sebi alishinda kesi ile kwasababu alipata mashahidi 70 waliotoa ushahidi mahakamani kutibiwa kila ugonjwa alioutaja Dr Sebi.

Katika matibabu ya Dr Sebi anaamini katika nguvu ya chakula, alisema kuwa Mungu alipotuleta hapa duniani alituweka na vyakula vyote vinavyotibu magonjwa yetu. Ni aina ya ulaji wetu ndiyo unafanya sisi kuandamwa na magonjwa.

Anaamini magonjwa yaanza kwenye cell na matibabu hivyo hivyo. Mwili unapokuwa kwenye acidic balance ndiyo mazingira mazuri mazuri ya wadudu kuzaliana na mwili unapokuwakwenye alkaline balance wadudu ambao wapo huko hukosa nafasi ya kuishi na magonjwa kupotea.

Mchanganyiko wa chakula cha wanga na protini ni sumu kubwa ya mwili, kwani msago wa vyakula hivyo huupeleka mwili kwenye acidic balance. Mfano wa vyakula hivyo ni wali na nyama, ugali nyama,

Mboga ambazo Dr Sebi anashauri ziliwe ni:
Vegetables
  • Amaranth greens – same as Callaloo, a variety of Spinach
  • Avocado
  • Bell Peppers
  • Chayote (Mexican Squash)
  • Cucumber
  • Dandelion greens
  • Garbanzo beans
  • Green banana
  • Izote – cactus flower/ cactus leaf – grows naturally in California
  • Kale
  • Lettuce (all, except Iceberg)
  • Mushrooms (all, except Shiitake)
  • Nopales – Mexican Cactus
  • Okra
  • Olives
  • Onions
  • Poke salad – greens
  • Purslane (Verdolaga)
  • Sea Vegetables (wakame/dulse/arame/hijiki/nori)
  • Squash
  • Tomato – cherry and plum only
  • Tomatillo
  • Turnip greens
  • Watercress
  • Zucchini
Matunda:
Fruits

(No canned or seedless fruits)

  • Apples
  • Bananas – the smallest one or the Burro/mid-size (original banana)
  • Berries – all varieties- Elderberries in any form – no cranberries
  • Cantaloupe
  • Cherries
  • Currants
  • Dates
  • Figs
  • Grapes- seeded
  • Limes (key limes preferred with seeds)
  • Mango
  • Melons- seeded
  • Orange (Seville or sour preferred, difficult to find)
  • Papayas
  • Peaches
  • Pear
  • Plums
  • Prickly Pear (Cactus Fruit)
  • Prunes
  • Raisins –seeded
  • Soft Jelly Coconuts
  • Soursops – (Latin or West Indian markets)
  • Tamarind
Chai
Herbal Teas
  • Allspice
  • Anise
  • Burdock
  • Chamomile
  • Elderberry
  • Fennel
  • Ginger
  • Raspberry
  • Tila
Viungo:
Mild flavors

  • Basil
  • Bay leaf
  • Cloves
  • Dill
  • Oregano
  • Parsley
  • Savory
  • Sweet Basil
Pungent and Spicy Flavors

  • Achiote
  • Cayenne/ African Bird Pepper
  • Coriander (Cilantro)
  • Habanero
  • Onion Powder
  • Sage
Nafaka:
Grains
  • Amaranth
  • Fonio
  • Kamut
  • Quinoa
  • Rye
  • Spelt
  • Teff
  • Wild Rice
Nuts and Seeds – (includes Nut and Seed Butters)
  • Hemp Seed
  • Raw Sesame Seeds
  • Raw Sesame Tahini Butter
  • Walnuts
  • Brazil Nuts
  • Pine Nuts
Oils
  • Olive Oil (Do not cook)
  • Coconut Oil (Do not cook)
  • Grapeseed Oil
  • Sesame Oil
  • Hempseed Oil
  • Avocado Oil
Pia Dr Sebi anashauri unywaji wa galoni moja ya maji kwa siku kama njia nzuri ya kutoa takata taka zilizomo mwilini. Chai na kahawa ni simu kubwa katika mwili, kunywa herbal teas na maji tu kama utaweza.
 
Dr Sebi alizaliwa Honduras, alifanikiwa kutibu AIDS, cancer, kisukari, lupus na kifafa. Miaka ya 1980 alichapisha tangazo kwenye

  • Achiote
  • Cayenne/ African Bird Pepper
  • Coriander (Cilantro)
  • Habanero
  • Onion Powder
  • Sage
Nafaka:
Grains
  • Amaranth
  • Fonio
  • Kamut
  • Quinoa
  • Rye
  • Spelt
  • Teff
  • Wild Rice
Nuts and Seeds – (includes Nut and Seed Butters)
  • Hemp Seed
  • Raw Sesame Seeds
  • Raw Sesame Tahini Butter
  • Walnuts
  • Brazil Nuts
  • Pine Nuts
Oils
  • Olive Oil (Do not cook)
  • Coconut Oil (Do not cook)
  • Grapeseed Oil
  • Sesame Oil
  • Hempseed Oil
  • Avocado Oil
Pia Dr Sebi anashauri unywaji wa galoni moja ya maji kwa siku kama njia nzuri ya kutoa takata taka zilizomo mwilini. Chai na kahawa ni simu kubwa katika mwili, kunywa herbal teas na maji tu kama utaweza.
Mwalimu wangu huyo ndie aliye ni fundisha kutibu maradhi sugu ya Ukmwi.Saratani, kisukari, Hepatiti B Virus, na maradhi mengine mengi tu. Mungu amrehemu Dr.Sebi Wamarekani ndio walio muuwa kwa sababu anatibu maradhi ya Ukimwi na maradhi ya Saratani Wamarekani aka (CIA) wanaona wao hawapati pesa dawa zao feki waka amuwa kumuwa Dr.Sebi nchini kwake Honduras mwaka jana.

DR SEBI.jpg
 
Ndiyo mkuu.
Asante Dada Sky Eclat , nilishawahi kusoma sehemu kuwa hata ulaji wetu wa matunda kwa sasa una walakini sana, Matunda mengi kwa sasa hayafati mfumo wa Asili kwani Mengi tunaita Matunda ya Kisasa ambayo hayana season, yaani yanapatikana mwaka mzimaIko hivi,

Mwili wa Binadamu huwa unabadirika kimfumo kila seasons na mabadiriko hayo kiasili yanaenda na mambo ya vyakula, so kama ni season ya Mapapai basi utakuta hakuna Machungwa, yaani hapo miili yetu inakuwa inahitaji Papai, so utakapokula Tunda ambalo sio la msimu huo lazima litakudhuru japo hautaona moja kwa moja.

Kwa hiyo kama ni Season ya Embe, Nanasi, Parachichi basi kula vyakula hivyo tu vinavyopatikana season hiyo, kamwe usile tuna ambalo sio season yake lililopandwa kwa hchi kilimo chetu cha Kisasa

Mfano miaka ya Nyuma kulikuwa na season maalum ya Matikiti maji, lakini kwa sasa Matikikiti maji yanapatikana mwaka mzima, so na wewe ukila matikiti mwaka mzima lazima utapata Kisukari tu, kwa sababu kipo kioindi ambacho mwili wako hauhitaji hilo tikitiki lakini wewe unakula kwa kulazimisha

KULA TUNDA LA MSIMU HUSIKA TU
 
Mwalimu wangu huyo ndie aliye ni fundisha kutibu maradhi sugu ya Ukmwi.Saratani, kisukari, Hepatiti B Virus, na maradhi mengine mengi tu. Mungu amrehemu Dr.Sebi Wamarekani ndio walio muuwa kwa sababu anatibu maradhi ya Ukimwi na maradhi ya Saratani Wamarekani aka (CIA) wanaona wao hawapati pesa dawa zao feki waka amuwa kumuwa Dr.Sebi nchini kwake Honduras mwaka jana.

View attachment 487743
Yeye mwenyewe si alikua anaumwa umwa sana ndo akafunga siku 90 (miezi 3), hali chakula chochote zaidi ya kunywa maji tu... Akatoka hapo mzima wa afya. Kanifanya nipendelee water fasting ku-detox mwili wangu!
 
Back
Top Bottom