Mfahamu kwa ufupi Donnie Yen

MFAHAMU KWA UFUPI DONNIE YEN

"wale wa season mtupishe kidogo"

Donnie yen mcheza sinema maarufu katika tasnia hii ya filamu Duniani.

Mcheza sinema huyu ambae amezaliwa 27/7/1963 jimbo la Guangdong huko Guangzhou inchini China. Kazi zake hii ya kucheza filamu aliianza katika mji wa Hongkong, kwa sasa ana umri wa miaka (57).

Donnie Yen au jina lingine anafahamika kama (yen ji-da) alisoma elimu ya martial arts, uongozaji wa filamu, utengengenezaji wa filamu. Lakini pia yeye ni mcheza michezo ya kweli kama Karate, Taekwondo, Kickboxing na kumfanya kufahamika ulimwenguni sana.

Mcheza filamu huyu ameoa mara mbili mke wa kwanza alifahamika kama Zing Ci-leng(1993-1995) na kuachana nae, ilipofika mwaka 2003 alioa Lizzy Wang.

Donnie Yen amejaliwa kupata watoto watatu wa kliume wawili ambao ni man zeok yen, James Yen na wa kike Jasmine Yen.

Wazazi wa Donnnie yen baba ni Klyster Yen, mama Bow-sim mark.

Mcheza filamu huyu alianza kuwa maarufu miaka ya 1983 mpaka sasa ameshafanya filamu kama Dragon Cage (2006), Special ID (2013) Ice Man (2014), Kung Fu Jungle (2014), Flash Point (2007) na hii filamu maarufu ya IP MAN zilizotoka kuanzia mwaka 2010 na ya mwisho imetoka mwaka huu inaitwa IPMAN4 ipo sokoni.

Donnie Yen amepata tuzo zaidi ya saba 7 ktk tasnia hii ya filamu na hata ktk michezo yake ya kweli ya ngumi.

Zingatia kuwa michezo mingi ambayo Donnie Yen na Jackie Chan huicheza ktk filamu zao huwa wanafanya kweli kwakua wao wamesomea michezo hiyo ya ngumi na Taekwondo, karate.

huyu mwamba yuko vizuri sana aisee.

IP MAN no 3 na 2 nimezipenda zaidi aise
 
Movie ya kwanza kuiona ya don ulikuwa ni mwaka 96 nimeisahau jina ila kwa wakati ule ilikuwa ni movie Kali Sana

Kuna scene yupo na demu 1 hivi anaye tafutwa kwa tuhuma za mauaji ya bf wake wakati siye yeye aliye muua huyo bf wake
Ghafla wana kutana na makachero wanao watafuta ikabidi don aanze kuwapa kichapo .. Kuna sehemu demu wakati ana msaidia don alichukua kasha la kuhifadhia. Maua ili ampige nalo jambazi ghafla katika kasha hilo akatokea mjusi ikabidi limponyoke lika mdondokea don kichwani aka zimia
Japo na mimi siikumbuki jina vizuri Ila nahis itakuwa inaitwa The boss ..mm nilikuwa nazitazam miaka ya 2005/2010
 
Kama unatumia star times hizi movies za kihenga zinachezwa sana star kong fu
Juzi tu nimeicheki tiger cage hadi kuna nyingine inaitwa meal on wheel yupo Jack Chan,Yuan Biao na Samo Hong enzi hizo tunaiita Jack Chan kipanya msosi nimeicheki
 
Movie ya kwanza kuiona ya don ulikuwa ni mwaka 96 nimeisahau jina ila kwa wakati ule ilikuwa ni movie Kali Sana

Kuna scene yupo na demu 1 hivi anaye tafutwa kwa tuhuma za mauaji ya bf wake wakati siye yeye aliye muua huyo bf wake
Ghafla wana kutana na makachero wanao watafuta ikabidi don aanze kuwapa kichapo .. Kuna sehemu demu wakati ana msaidia don alichukua kasha la kuhifadhia. Maua ili ampige nalo jambazi ghafla katika kasha hilo akatokea mjusi ikabidi limponyoke lika mdondokea don kichwani aka zimia
Tiger Cage.
 
Movie ya kwanza kuiona ya don ulikuwa ni mwaka 96 nimeisahau jina ila kwa wakati ule ilikuwa ni movie Kali Sana

Kuna scene yupo na demu 1 hivi anaye tafutwa kwa tuhuma za mauaji ya bf wake wakati siye yeye aliye muua huyo bf wake
Ghafla wana kutana na makachero wanao watafuta ikabidi don aanze kuwapa kichapo .. Kuna sehemu demu wakati ana msaidia don alichukua kasha la kuhifadhia. Maua ili ampige nalo jambazi ghafla katika kasha hilo akatokea mjusi ikabidi limponyoke lika mdondokea don kichwani aka zimia
In the line of duty
 
Kitambo sana,, moja aneanda pigana na baunsa mmoja airpot juu ya ghorofa.

Nyingine yule baunsa anapigana nae kwenye cage ya wavu, don alinipigia vichwa mtu ni kisanga
naam na kuna scene walifungwa pingu ikawa wanakimbia pamoja mpaka kwa yen kufika huko mtihani ukawa ni yen kwenda toilet

daahh kitambo sana

sisi wengine le mubebez ni age mate mwenzetu
kuna sehem msichana alikua anakula tambi akapaliwa zikampata yen??
 
Namkubali sana Donnie yen aisee, kuna movie zake nyingine hujaweka hapo sikumbuki vizuri jina ila ni kama pros sijui, anatoka kupigana vita anarudi China na kua mfanyakazi wa hotel,
Though katika IP Man zote napenda sana namba 2 & 3
Dah ip man ni movie mojawapo imetulia sana kwa kweli.
 
Namkubali sana Donnie yen aisee, kuna movie zake nyingine hujaweka hapo sikumbuki vizuri jina ila ni kama pros sijui, anatoka kupigana vita anarudi China na kua mfanyakazi wa hotel,
Though katika IP Man zote napenda sana namba 2 & 3
Nadhani unaongelea "The legend of shen zhen ,fist down"
 
Namkubali sana Donnie yen aisee, kuna movie zake nyingine hujaweka hapo sikumbuki vizuri jina ila ni kama pros sijui, anatoka kupigana vita anarudi China na kua mfanyakazi wa hotel,
Though katika IP Man zote napenda sana namba 2 & 3
Don Yen ana dada'ake ana Dada yake, ameonekana katika filamu ya Adventures of Johnny Tao, Rock Around the Dragon
 
Back
Top Bottom