Nyaka-One
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 4,313
- 5,980
Aliuliwa na jeshi la Polisi au na mzee Nuru? Rejea comment # 106.Moja Katie ya mateka waliotekwa na mimi ni mmojawapo
Ila yule dogs alikuwa tishio aliuliwa na mzee Nuru huyu mzee alikuwa anaishi katikati ya Runazi na Kashalunga