Quimica
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 1,029
- 1,252
- Thread starter
- #21
Ungetengeneza Thread apate watu wamtoe ,jamiiforums kuna watu mkuuwapo mkuu yupo jamaa yangu flani hivi pande za Njombe aisee jamaa ni Ginius wa ajabu yaani hua nashangaa anaweza kusuka inverter,transiformer,amplifaya
radio,transimiter
Na mavitu kibao ya umeme na hajasoma popote secondary kwenye maabara ya physics aliacha makolo kolo ya kutosha aliyoyatengeneza na kuacha kama alama
Cha ajabu sasa jamaa ni inteligent balaa kupitia yeye ndio niliwajua kina Tesla & Co kiundani
Hilo getto lake sasa lina makololo kibao hakuna kitu cha kieletronic hatengenezi yani kwenye ukuta kajaza formula za kila namna yaani kama unataka fuma sabuufa anakuonesha mfumo wake wote
Ila cha ajabu tupo naye kitaa sababu nchi yetu tunaijua wenyewe ila jamaa yupo njema sana ikitokea mdhamini aende mambele tutamsahau ndani ya wiki genius haswa!