SALUM S HEMED
JF-Expert Member
- Mar 4, 2016
- 1,437
- 1,860
Bibi Tina? Nikumbushe mkuu mimi namkumbuka bibi frola?Hivi ni nani kati yenu mnamfahamu bibi Tina?
Bibi Tina? Nikumbushe mkuu mimi namkumbuka bibi frola?Hivi ni nani kati yenu mnamfahamu bibi Tina?
sijamjua mkuu ila mtu kidole maana ile ndio ilikuwa njia yangu kubwa mdogo mdogo mpaka school kinondoni muslimAlikuwa anakaa njia ya kwenda mahakamani.. Ni fundi si kidogo
Vegas wamepotea kabisa skuiz toka mambo ya jogging yaanze na uwanja wao pale roya utawapenda timbwili likianzaMajani ndio kundi la mwisho kutishia walikuwa wanatokea cha ukucha
Utafurah wakikutana na vegas ya kipind hicho
Safi mkuu...nikipata mda nitaftilia salum kiwiku yupo wapi siku hizi hii week end tukijaliwa nitashuka chini kule nitapita na kwa james pale nitampa salamu zako na ranueli (ima mnyasa) ndio ilikuwa kampani kubwa ya bongeNitaweka story yake
Duu poa poaSafi mkuu...nilipata mda nitaftilia salum kiwiku yupo wapi siku hizi hii week end tukijaliwa nitashuka chini kule nitapita na kwa james pale nitampa salamu zaka na ranueli (ima mnyasa) ndio ilikuwa kampani kubwa ya bonge
Ha ha ha ivi unajua uchebe wa shishi ni zao la Vegas usimuone kama mlainiNaona mnazungumzia mitaa ya wakabaji,Vegas,yakuza
Yakuza bado wapo mzee juzi juzi wamemkata visu fundi simu chidi mdigo pale ujiji mwanyamala kisa elfu 3 simu mbovu fundi kasema aitengenezeki imekuwa kosa kubwa sanaNaona mnazungumzia mitaa ya wakabaji,Vegas,yakuza
Namjua vizur sana uchebe kuna mtu anaitwa Moi ndio alimsilimisha pale msikiti wa taqwa...mpaka leo mama ake mzazi anaishi chumba cha kizaHa ha ha ivi unajua uchebe wa shishi ni zao la Vegas usimuone kama mlaini
Mkuu pale ujiji toka wajenge ule mjumba mzuri naona wakabaji wamepotea maana walikua na kichochoro chao kile kama kimezibwa, ukija mpk kwa Ali maua, pia wale wa Vegas kdg wamekua masharo kimtindoYakuza bado wapo mzee juzi juzi wamemkata visu fundi simu chidi mdigo pale ujiji mwanyamala kisa elfu 3 simu mbovu fundi kasema aitengenezeki imekuwa kosa kubwa sana
Yeah uchebe ustaaz haswa na nakoz anabonda sema sio mkabaji.Namjua vizur sana uchebe kuna mtu anaitwa Moi ndio alimsilimisha pale msikiti wa taqwa...mpaka leo mama ake mzazi anaishi chumba cha kiza
Yeah namjua DogoHa ha ha ivi unajua uchebe wa shishi ni zao la Vegas usimuone kama mlaini
Yakuza wale jamaa yakuza kweli,ujiji kule mmhYakuza bado wapo mzee juzi juzi wamemkata visu fundi simu chidi mdigo pale ujiji mwanyamala kisa elfu 3 simu mbovu fundi kasema aitengenezeki imekuwa kosa kubwa sana
Mkuu kuna mzee alikuwa anaitwa mzee ciza marehem...mtoto wake cocoo(cloud) mwenye maisha club dah mzee alikuwa namba chafu sana alipigwa bunduki hapa road karibu na kamnyola bar..nyumba yake ipo hapa ukiwa unaanza kuingia makaburin kipindi icho ndio ilikuwa nyumba nzur eneo lile mtoto wake tina, cocoo(cocoo ndio aliyempa mchoro wa maisha huyu dj majizo ila kipindi icho alikuwa anajulikana km rashid bichwa mmakonde )Duu poa poa
Siku yule mzee anadunguliwa tulikuwa pale Makuti opp na nyumba yake.. Anatoka tunamuona mara tunasikia shaba kufika pale wa juziMkuu kuna mzee alikuwa anaitwa mzee ciza marehem...mtoto wake cocoo(cloud) mwenye maisha club dah mzee alikuwa namba chafu sana alipigwa bunduki hapa road karibu na kamnyola bar..nyumba yake ipo hapa ukiwa unaanza kuingia makaburin kipindi icho ndio ilikuwa nyumba nzur eneo lile mtoto wake tina, cocoo(cocoo ndio aliyempa mchoro wa maisha huyu dj majizo ila kipindi icho alikuwa anajulikana km rashid bichwa mmakonde )