Zambotti
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 1,958
- 3,588
Nimewahi kufika hiki kijiji, kuna stori za mauza uza sana hapo.Alikuwa ni Mmanyafu, kabila dogo Sana linalopatikana kwenye mpaka wa wilaya ya Rungwe na Ileje Kijiji Cha Ikuti.
Kijijini hapo unapita mto Songwe/Kiwira...