Sio Mr Beast huyoKuna boya mwingine kanunua gari arobain kwaajili ya subscribers wake kitu wasichokijua wadau wengi wanao ona kama too much show off ni kwamba hawa watu wanaingiza mpunga kwa luxury life styles zao
Cheki lafudhi yake mbona inajieleza kama unawafahamu Waingereza lafudhi (accent) inawatambulisha sababu hamna wanaefanana naeKumbe Shmee ni muingereza?
Nilidhani ni raia wa marekani.
Nadhani ndio yeye uyo mjeuri sana yule mwambaSio Mr Beast huyo
Ana kithembe.Cheki lafudhi yake mbona inajieleza kama unawafahamu Waingereza lafudhi (accent) inawatambulisha sababu hamna wanaefanana nae
Mkuu akili yako unaitambua mwenyewe.Miisho ya watu kama hawa mara nyingi huwa sio mizuri
sasa mtu ana gari limeandikwa PAGAN unategemea nini hapo??
Biblia yangu inaniambia hivii.....
"MARKO. 8:36-37
Kwa kuwa itamfaidia mtu nini kuupata ulimwengu wote, akipata hasara ya nafsi yake? Ama mtu atoe nini badala ya nafsi yake?"
Sawa mkuuMkuu akili yako unaitambua mwenyewe.
Kwa hiyo unaamini kwamba kila neno tafsiri yake ni universal? unavyoielewa maana ya neno PAGAN haina maana kila mtu/jamii wanalielewa hivo.
Haya mambo ya kupangiana ukipata mpunga...sijui..toa misaada kwa Yatima, wagonjwa au fukara..ni uamuzi wa mhusika (ukiweza tutakushukuru). Lakini hatuwezi kumpangia mtu matumizi ya pesa yake.
Wewe kama umeamua kwamba mali yako iko mbinguni..so be you! wanaotaka kumalizana na dunia humu humu waache…..maybe na wewe Range yako utaikuta mbinguni. ila kwa aliyeamua kuiendeshea duniani...muache..usimsumbue wala kumsema vibaya (unless ameibia wengine).
Tusipende kujifarijisha na mambo ya Imani tunaposhindwa kutoboa kwenye Maisha.....
Mpaka siku naondoka duniani...naamini kwa dhati kabisa….Mungu hapendi watu wake wawe masikini. Ndo maana ukipambana utafanikiwa in your own way! (definition ya mafanikio iwe ya kwako..siyo ya mwingine).
daahCha ajabu ameshindwa kupanda yote kwa wakat mmoja
Ndo maana anapiga nayo picha tu
Ko ss tunachojua ana gari moja tu analopanda mda huo Ndo lake
Jamaa fala sana yule... Sana... yaani kuna siku alienda Mall akanunua KILA KITUUU supermarket na akikukuta unanunua anasema beba unachotaka nitalipaSio Mr Beast huyo
Nilikuwa sjui kama wazungu nao huwa wanambwembwe za hvJamaa anashambuliwa kweli kwenye youtube comments wadau wanadai kazidisha kujionyesha mwezi hupiti ananua gari la gharama YATOSHA.
Inakuwaje wanaJF
Kijana huyu Mwingereza Tim Burton mwenye umri wa miaka 33 alizaliwa tarehe 17/09/1987.
Anajulikana kwa jina la utani kama Shmee150. Ni car blogger, entrepreneur na youtuber ana followers zaidi ya 2m.
Ana utajiri wa dollar 15 M. Ana collection ya magari ya kifahari ya kutisha hasa super cars. Ambazo hana aibu kuzianika.
Juzi siku nne zilizopita kavuta mchuma wa maana Mercedes Benz AMG GTR Roadster. Na kabla mwaka uisha anataka kuvuta michuma mengine ya uhakika.
View attachment 1632479View attachment 1632480View attachment 1632481View attachment 1632483View attachment 1632486View attachment 1632489View attachment 1632489