Inawezekana kama yeye ni msafi, ila kama wote wana makando kando basi kugeukana ni vigumu.Yasije yakamtokea kama ya Ian Khama na Mokweegtsi. Kama Edwardo dos Santos na Joao Laurenco. Unae muamini ndo anaekugeuka
Mhutu.Huyu rais mteule ni mtusi?
Tofauti ipo kubwa sn, Raila alitaka kulazimisha matokeo, pia alikata rufaa matokeo yakafutwa na mahakama, EA kuna nchi gani mahakama inaweza kufuta matokeo na uchaguzi ukarudiwa?rejea uchaguzi wa juzi ambao matokeo yalibadilishwa mahakama,na ule uchaguzi wa maigizo ambao kenyata alishinda kwa kishindo.. unaona ulikuwa na todauti gan na ule wa zanzibar?
that's what i thought.Mhutu.
Generali Joseph Desire Mobutu Sese Seku Kuku Ngendu Wa Zabanga 1930_1997, ambaye alikuwa Raisi wa pili wa Congo kuanzia mwaka 1965 baada ya kumpindua Joseph Kasavubu
Uchaguzi ulijaa hila, ubabe, uonevu, vitisho na ubambikiwaji wa kesi kwa upinzani bila kusahau rushwa....
Hata kama ni mzuri kiasi gani... Uchaguzi kwa jinsi ukivyoenda unamuondolea sifa njema
Jr
edit your post, please.Sijaelewa utajiri ya hiki ka inchi kapo wapi?
Huyo rwassa ndio mtutsi nadhaniHuyu rais mteule ni mtusi?
Unambiwa ni mbabe alafu mnyenyekevuEti ukomavu wa kisiasa kwa upinzani unahitajika, what a joke
Yaani mada yenyewe imembeba Gen na Rais tangu wako Chuo
Yaani africa ni kukubali tu
hata rwanda wakifanya uchaguzi wa haki mtusi kushinda utakuwa muujiza.
Generali Evarist Ndayishimiye, Generali Adolphe Nshimirimana, Generali Emmanuel Ntahomvukiye, Generali Prime Niyongabo na Generali Etienne Ntakirutimana walifanikiwa kuzima jaribio la mapinduzi ya kijeshi nchini Burundi tarehe 13/5/2015 yaliyotangazwa na Generali Godefroid Niyombare aliyekuwa Waziri wa ulinzi na usalama wa Taifa Burundi. Mapinduzi hayo yalikuwa na mkono wa serikali ya Rwanda chini ya Generali Paul Kagame.
Saba, Generali Evarist Ndayishimiye ndiye anafahamu siri za mali na utajiri wa Raisi Pierre Nkurunzinza hivyo alimpigia upatu wa uraisi ili amlinde baada ya kustaafu mapema mwezi Agasti mwaka huu.
Nasubiri jibu pia.Sijaelewa utajiri ya hiki ka inchi kapo wapi?
Kabisa mkuu.Nasubiri jibu pia.