Mfahamu Eliza, Binti mrembo anayesambaza VVU kwa makusudi

wiseboy.

JF-Expert Member
Aug 11, 2014
2,933
4,533
Nimeshamuonya huyu binti zaidi ya mara kumi kuwa aache kuambukiza watu HIV makusudi lakini ni kiburi sana na amedhamiria kuwafyeka wanaume wote wakware.

Anaishi Kakola km 75 kutoka Kahama mjini ambako kuna mgodi mkubwa wa dhahabu na migodi mingine midogo ya wachimbaji wadogo wa gold,anafanya kazi ktk baa ya NEW PEACE.

Ni mzuri sana wa sura, umbo namba nane, rangi ya chocolate, ukimuona utadhani ni mnyarwanda, urembo wake wa sura ya baby face na tak* kubwa la kufa mtu ambapo akitembea hutikisa lenyewe automatically ndo vinawafanya vijana wenzangu waogolee kwenye moto bila kujua.

Ni wachache mno huko Kakola wanaomjua Eliza kuwa tayari kaugua. Kwa mkazi yeyote wa Kakola ambaye hataamini aende ktk kituo cha afya cha Lunguya siku ya alhamisi ktk wk yoyote ile, atakutana na Eliza huko kafuata dozi ya kupunguza makali.

Mwezi jana Eliza kamuambukiza HIV kijana mmoja mchimbaji mdogo (note, Eliza si jina lake halisi).

Kazi kwenu vijana wakware,la mgambo limelia, kila anayefika Kakola tahadhari kwake na kwingine pia, tujilinde.
 
Dah mbona nimeshapiga huyo nilimchukua pale Kakola center nikaenda nae ILOGI ila nilitumia CONDOM!!
 
Weka picha

1111.jpg
 
Nitumie namba zake na Mimi nimkanye

duh! are you serious? usije ukaenda kumkanya chumbani,ni mrembo balaa kiasi kwamba huwez kuvumilia ukimuona,anyway nipo mbali na kakola kwa sasa,nikienda huko nitachukua namba zake nikutumie maana sijawahi kuwa na namba zake zaidi ya kumjua tu.
 
Watu wa type za kina Eliza(wake kwa waume) wapo wengi,si kahama peke yake ni dunia nzima.
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom