mbusage
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 447
- 121
Nitumie namba zake na Mimi nimkanye
hahahaaa hawa ndio kabuli linawaitaa kwa nguvu zoteeer jamani huu ugonjwa ni nomaaaaa!
Nitumie namba zake na Mimi nimkanye
Nimeshamuonya huyu binti zaidi ya mara kumi kuwa aache kuambukiza watu HIV makusudi lakini ni kiburi sana na amedhamiria kuwafyeka wanaume wote wakware.
Anaishi Kakola km 75 kutoka Kahama mjini ambako kuna mgodi mkubwa wa dhahabu na migodi mingine midogo ya wachimbaji wadogo wa gold,anafanya kazi ktk baa ya NEW PEACE.
Ni mzuri sana wa sura, umbo namba nane, rangi ya chocolate, ukimuona utadhani ni mnyarwanda, urembo wake wa sura ya baby face na tak* kubwa la kufa mtu ambapo akitembea hutikisa lenyewe automatically ndo vinawafanya vijana wenzangu waogolee kwenye moto bila kujua.
Ni wachache mno huko Kakola wanaomjua Eliza kuwa tayari kaugua. Kwa mkazi yeyote wa Kakola ambaye hataamini aende ktk kituo cha afya cha Lunguya siku ya alhamisi ktk wk yoyote ile, atakutana na Eliza huko kafuata dozi ya kupunguza makali.
Mwezi jana Eliza kamuambukiza HIV kijana mmoja mchimbaji mdogo (note, Eliza si jina lake halisi).
Kazi kwenu vijana wakware,la mgambo limelia, kila anayefika Kakola tahadhari kwake na kwingine pia, tujilinde.
acha kelele wewe ushaambiwa eliza sio jina lake halisi
Kama anatumia ARV kwa usahihi uwezo wake wa kuambukia utakuwa umepungua kwa asilimia fulani. Madaktari mje mtoe elimu huku inaonekana wengi elimu ya UKIMWI inatupiga chenga.
Halafu kumtaja mtu kwa jina hivyo si ndio unyanyapaa tunaoupigia kelele huo?
Unajuaje kama anawaambukiza anaotembea nao? Labda nao tayari wana maambukizi?
Nipo kakola, tunamfahamu ila mtoto ameumbika bwana, ukimwona kwa macho mbona hana VVU? Ni mzuri ajabu!
Picha nitatuma ila nipate ridhaa ya mod
af ww soma uelewee sio kama unakulupushwa na nyokaa amekwambia hilo sio jina lake halisiii alaaaaa
I reserve my commentaf ww soma uelewee sio kama unakulupushwa na nyokaa amekwambia hilo sio jina lake halisiii alaaaaa
wiseboy hapa inaelekea huyo eliza(si jina lake) kakunyima u....c...h...i ndio maana umeamua kwa makusudi kumchafulia.. Ungekuwa raia mwema ungekwenda kwenye hicho kituo cha afya anakochukulia dozi ukawapa taarifa hii ili wao nao wachukue hatua stahiki....acha ujuha kalulu
Nimeshamuonya huyu binti zaidi ya mara kumi kuwa aache kuambukiza watu HIV makusudi lakini ni kiburi sana na amedhamiria kuwafyeka wanaume wote wakware.
Anaishi Kakola km 75 kutoka Kahama mjini ambako kuna mgodi mkubwa wa dhahabu na migodi mingine midogo ya wachimbaji wadogo wa gold,anafanya kazi ktk baa ya NEW PEACE.
Ni mzuri sana wa sura, umbo namba nane, rangi ya chocolate, ukimuona utadhani ni mnyarwanda, urembo wake wa sura ya baby face na tak* kubwa la kufa mtu ambapo akitembea hutikisa lenyewe automatically ndo vinawafanya vijana wenzangu waogolee kwenye moto bila kujua.
Ni wachache mno huko Kakola wanaomjua Eliza kuwa tayari kaugua. Kwa mkazi yeyote wa Kakola ambaye hataamini aende ktk kituo cha afya cha Lunguya siku ya alhamisi ktk wk yoyote ile, atakutana na Eliza huko kafuata dozi ya kupunguza makali.
Mwezi jana Eliza kamuambukiza HIV kijana mmoja mchimbaji mdogo (note, Eliza si jina lake halisi).
Kazi kwenu vijana wakware,la mgambo limelia, kila anayefika Kakola tahadhari kwake na kwingine pia, tujilinde.
hivi wewe unafikiri kwa kutumia matak* au we ni chizi umetoroka mirembe?mi natoa taarifa ili kunusuru watu wewe unasema eti nilimtonga akanikataa,pumbav zako mjinga wewe,yule ni kahaba kama wewe,so hakatai mtu she looks for money mjinga wewe,lione kwanza.
Nitumie namba zake na Mimi nimkanye