Kazi kweli kweliUkitoka kifungoni utuelezee sababu za kuwa banned
Hivi yote aliyofanya kwenye taifa hili mpaka awe mchepuko ndiyo barabara ipewe jina lake? Hamuwachi yakhe!!Ulikua mchepuko wa Mwalimu,,chanzo Cha kutaka kupindua serikali wivu wa kimapenzi unatajwa..kutolewa kwake ,na kupewa heshima ya barabara to be named after her name yote yanaingia humo..