komanyahenry
JF-Expert Member
- Sep 15, 2017
- 903
- 1,352
Itakuwa garely boyKati ya hizo nafasi LEMUTUZ aka LAURENT KABILA yeye anadondokea nafasi gani
Itakuwa garely boyKati ya hizo nafasi LEMUTUZ aka LAURENT KABILA yeye anadondokea nafasi gani
Na je kiongozi vp kuhusu kupata seatime kwa hapa bongo hususani dar es salaam?Kazi zipo tele katika nchi ambazo ni maritime oriented na hii fani ni ya kimataifa. Ila unatakiwa kuchangamka kwa kuipenda fani, kuwa bora kwenye fani na kuwa huru kufanya popote duniani. Ukitegemea hapa kwetu sijui victoria sijui nini nini huko utachanganyikiwa. Unaweza kukuta boss wako ana fani ya uinjinia wa magodauni
Umenikumbusha nahodha na mainjinia wa TITANIC walikufa na meli kutimiza wajibu waoNahodha ndio kila kitu kwenye meli (Chief in Charge) na yeye ndio amekabidhiwa meli. Ni kweli lolote litakalotokea hata kama amefanya mtu mwingine anayehusika kujibu ni nahodha.
Ishu ya kuzama na meli ni chaguo la mtu, kuonekana alifanya uzembe,kuogopa hukumu nzito ya mahakama na kuonekana amedharirisha taaluma yake kubwa aliyokuwa nayo.
Ila hii ya kuzama na meli wazungu ndio walifanya zamani, ila kwa mswahili thubutu anatoroka kusikojulikana au bora aende mahakamani.
Zipo kampuni mbili tatu na vijimeli vichache mtu aweza kufanya lakini pia unaweza kuwatumia mawakala wa makampuni makubwa ambao meli zao zinakuja bongo mara kwa maraNa je kiongozi vp kuhusu kupata seatime kwa hapa bongo hususani dar es salaam?
Kama tayari una Diploma ya umeme usihangaike na Class 3 au 2. Meli za kisasa zina mtu anaitwa ELECTRICAL TECHNICAL OFFICER (ETO) huyu ndie anayefanya kazi zote za umeme na electronics katika meli.Mfano mimi Nina Bachelor na Diploma za Electrical and Electronic Engineering nikienda DMI kusoma Postgraduate Diploma ya Marine Engineering nikimaliza kusoma nikapata seatime ya mwaka nikitaka kusoma CoC (Certificates of Competency) upande was Engine Room nitasoma ipi Kati ya Fourth Engineer,Third Engineer au Second Engineer?
DMI nimeshawai kwenda mwaka Jana nikaenda kuongea na registrar ila Cha ajabu Kuna bimkubwa akanikomalia kusoma ETO.Kama tayari una Diploma ya umeme usihangaike na Class 3 au 2. Meli za kisasa zina mtu anaitwa ELECTRICAL TECHNICAL OFFICER (ETO) huyu ndie anayefanya kazi zote za umeme na electronics katika meli.
Ukienda DMI utasoma hii kama una sea time ya kutosha.
Kwa wewe inabidi ufanye sea time na kwenye oral examination ya kutafuta Certificate of Competence (CoC) ufanye ya ETO.
Ukiwa kama ETO utakuwa na wigo mkubwa kwenye makampuni makubwa huko duniani maana meli za miaka ya karibuni huwa na huyu mtu melini kutokana na mabadiliko ya teknolojia.
Yuko sahihi kabisa. Kama unataka uwe 3rd engineer itakubidi urudi darasani usome marine engineer kitu ambacho ni kama kupoteza muda.DMI nimeshawai kwenda mwaka Jana nikaenda kuongea na registrar ila Cha ajabu Kuna bimkubwa akanikomalia kusoma ETO.
Akanishauri nisome mandatory courses then kwenye seatime niombe nifanye kama ETO nifanye kwa muda usiopungua miezi 24 then nirudi DMI nisome ETO.
Sawa mkuu.Yuko sahihi kabisa. Kama unataka uwe 3rd engineer itakubidi urudi darasani usome marine engineer kitu ambacho ni kama kupoteza muda.
ETO kwako ni njia sahihi na nyepesi ya kupata COC.
Kuna ndugu yangu amesoma bachelor degree in electrical and electronic engineering.DMI nimeshawai kwenda mwaka Jana nikaenda kuongea na registrar ila Cha ajabu Kuna bimkubwa akanikomalia kusoma ETO.
Akanishauri nisome mandatory courses then kwenye seatime niombe nifanye kama ETO nifanye kwa muda usiopungua miezi 24 then nirudi DMI nisome ETO.
Kuna ndugu yangu amesoma bachelor degree in electrical and electronic engineering.DMI nimeshawai kwenda mwaka Jana nikaenda kuongea na registrar ila Cha ajabu Kuna bimkubwa akanikomalia kusoma ETO.
Akanishauri nisome mandatory courses then kwenye seatime niombe nifanye kama ETO nifanye kwa muda usiopungua miezi 24 then nirudi DMI nisome ETO.
Pitia post hapo juu, lazima asome mandatory course na ETOKuna ndugu yangu amesoma bachelor degree in electrical and electronic engineering.
Anapenda kufanya kazi melini
je anatakiwa asome kozi gani?
Sent from my PDBM00 using JamiiForums mobile app
Soma mandatory kisha tafuta kazi kwenye cruise ship ukafanye kazi ya taaluma yako.Mimi nina diploma ya famasi
Nikisoma zile mandarory kozi kisha nikipata seatime ya miezi 6
je naweza kusoma CoC?
Sent from my PDBM00 using JamiiForums mobile app
Kaka mm nilikula check number hivyo sikwenda dmi Bado, ila naona Bado mambo ni 00 itabidi likizo niingie dmi Sina namna nikapige mandatory coursesKuna ndugu yangu amesoma bachelor degree in electrical and electronic engineering.
Anapenda kufanya kazi melini
je anatakiwa asome kozi gani?
Sent from my PDBM00 using JamiiForums mobile app
bado unafanya kazi ya ubaharia?Niliishia hicho cheo cha Second Engineer kwenye Meli kubwa ila hizi za utafiti nilikua naomba kama Chief Engineer kwa kipindi hicho SA ushindani ulikua mdogo sana unachagua ufanye kazi kampuni ipi yenye maslahi...ila Debeers ukipata mkataba wao wa miaka miwili ulikua unalipa mno na wale A & J wavuvi wa samaki...