Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,272
Yanatumika mama akiwa kibaruaniMtoto ananyonya hayo ya pakiti ya kazi gani au wataanza kulia ugali.
Yanatumika mama akiwa kibaruaniMtoto ananyonya hayo ya pakiti ya kazi gani au wataanza kulia ugali.
...Hajasema kwa Siku Mkuu. Amesema amekusanya hizo Lita 40 kwa Miezi Miwili toka aanze kuyakamua na kuyaweka kwenye pakti ndani ya friji kwa maana kwamba anapotaka kumpa mwanawe ni kiasi cha kuyapasha moto tu!!....Arobain kwa siku mbona ni mengi kuliko ya ng'ombe wa kisasa wa maziwa?
Mumewe anafaidiDar es Salaam. Wakati baadhi ya wanawake wakiogopa kuwanyonyesha watoto wao kwa madai kuwa wataharibu muonekano wa matiti, hali ni tofauti kwa wakili Anastazia Muro (33), aliyeweka nadhiri ya kunyonyesha watoto wake kwa miezi sita bila kuwapa chochote huku akiwa ameanza kukamua maziwa na kuweka kwenye pakiti.
Tangu anaanze kukamua maziwa yake miezi miwili iliyopita ameshahifadhi pakiti 200 za maziwa zenye ujazo wa mililita 100 ambayo ni sawa na lita 40 au ndoo kubwa mbili za maji.
Kwa mujibu wa wataalamu wa afya, maziwa ya mama pekee ni chakula na kinywaji tosha kwa mtoto mchanga kwa miezi sita ya mwanzo ya maisha yake.
Anastazia, ambaye ni Meneja Programu katika Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), mtoto wake wa kwanza, Raphana ametimiza miezi mitatu.
Anasema aliamua kukamua maziwa na kuyaweka kwenye pakiti, baada ya kujifunza kutoka katika mitandao ya kijamii wakati akijiandaa kumpokea mtoto wake.
MCL
Atakuwa anakula majani kama ng'ombe sio bureArobain kwa siku mbona ni mengi kuliko ya ng'ombe wa kisasa wa maziwa?
Got you I thought per day...Hajasema kwa Siku Mkuu. Amesema amekusanya hizo Lita 40 kwa Miezi Miwili toka aanze kuyakamua na kuyaweka kwenye pakti ndani ya friji kwa maana kwamba anapotaka kumpa mwanawe ni kiasi cha kuyapasha moto tu!!....
Atakuwa anakula majani kama ng'ombe sio bure
Why za mda mfupi?
Bora kumyonyesha tu direct hii kamua kamua inahitaji high personal hygiene kuna mtu niliona ana kamua na kumpashia maziwa mtoto ukuaji wake ukawa haueleweki sana.nikianza nyonyesha nitatafta nyumba karibu na ofisini niwe naenda kunyonyesha mara kwa mara hii kamua kamua itakuwa last option when other means zikifeli maana kumwachia dada wa kazi atakosa umakini.Hata mie sijui ila ndoo yote hio ya maziwa ya nini si angeacha mtoto anyonye direct kuliko kukesha anampa ya chupa kisa amekamua mengi. Kisingizio kisije mchana akiwa kazini
🤣🤣🤣Yani wewe Ukisikia neno "maziwa" unadinda?
Ndio maan mnabaka maniner!
kamfunde huyo binti mamaMtoto ananyonya hayo ya pakiti ya kazi gani au wataanza kulia ugali.
Mtoto ananyonya hayo ya pakiti ya kazi gani au wataanza kulia ugali.