Mfahamu Abby Chams, mtoto mwenye kipaji cha kutisha

warumi

R I P
May 6, 2013
16,273
18,380
Haka katoto jaman kana sauti , kanajua kuimba, kupiga violin , halafu kana akili sana kichwan I, na ni kazuri. Hivi karibuni nimemuona yupo karibu sana na wasafi , na kako karibu sana na Diamond platnums , pia kuna wimbo Mpya wa SUPER WOMAN ambao ameshiriki kuimba na kuandika pamoja na Diamond Platnumz.

Walahi haka katoto kana kipaji cha kutisha , huyu domo asije tu akafanya kama the late kanumba kwa Lulu , kujifanya anamsaidia kumbe ana yake

Halafu nilisikia umbea ni mtoto wa khadija kopa Sijui ni kweli , mbona katoto ka kishua sana , na kizungu chake sio cha nchi hii , yan inshort this girl ako level za ki international , ako na exposure na elimu yake ndogo imemfanya akokamae kifikra na kihisia , she is so smart , sio kama akina Tunda na lulu

Mungu amsaidie tu afike mbali maana kipaji tu anacho kwa kweli.

IMG_9745.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Huyu mtoto yuko Bright sana....nilimskia kweny interview...pia nmeona ameimba hiyo ngoma ya leo...kametisha...

Sema huyu ukioa lazma akusumbue mana naona shule kidogo si haba
Yani official lyn angekua anaongea kama huyu Abby asee tungekoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nlkuwa nakakubali ila baada ya kuchek ile interview wasafi nkaona kumbe hata kiswahili hakajui fresh. .nlkuwa nakakubal kwasabab nlifkiri ni mwenzetu anayetuinspire kutoka chini mpaka juu kumbe ni mtu aliyezaliwa juu tayari ..honestly mtu yoyote angezaliwa kwenye mazingira kama yake hata ambaer rutty angekuwa na hicvyo vipaji au zaidi na angefika hapo au zaidi....
Bora kasijifanye kanainspire watu au kuleta inspiration speeches.
All in all magep yataendelea kuwepo lakini nkiona wakishua hivo sioni kipya
 
Nlkuwa nakakubali ila baada ya kuchek ile interview wasafi nkaona kumbe hata kiswahili hakajui fresh. .nlkuwa nakakubal kwasabab nlifkiri ni mwenzetu anayetuinspire kutoka chini mpaka juu kumbe ni mtu aliyezaliwa juu tayari ..honestly mtu yoyote angezaliwa kwenye mazingira kama yake hata ambaer rutty angekuwa na hicvyo vipaji au zaidi na angefika hapo au zaidi....
Bora kasijifanye kanainspire watu au kuleta inspiration speeches.
All in all magep yataendelea kuwepo lakini nkiona wakishua hivo sioni kipya
Lakini wapo watoto wengi wa kishua lakini ni vichwa maji tu.Huyu dogo ana kitu.Kitu chake ndio cha kukuinspire sio personal life yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini wapo watoto wengi wa kishua lakini ni vichwa maji tu.Huyu dogo ana kitu.Kitu chake ndio cha kukuinspire sio personal life yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
I dont think you understand.
Dogo hajui kiswahili vizuri
Kwa lugha nyngne bongo bahati mbaya
Dogo mimbo yake ni kiingereza tu,24hrs anaongea kiingereza na yupo bongo,post zake zote english.
Huo ni usaliti wa indigenousness kwahyo mtu wa hvo siwezi kumsapot.
Kuna wa kishua wengi ila wanaishi kibongo tu na wanaongea kiswahili ila dogo ana uzungu mwingi,,
Sawa ana talents lakin ni sawa na wale wajinga wa kishua wa masaki wanaorap kiingereza wanakutana wanaongea tu english utazani wako USA.
Siwasapoti kwasababu sina kitu nao in common wale sio watanzania wenzangu in heart.

Ni sawa na USA umkute mtu black lakini anajitenga na weusi wenzake, marafiki zake mke wake wote wazungu,,unakuta hadi anaimba country music mimbo ya kizungu ili kuwafurahisha wazungu kuwa he is one of them...hiyo ni betrayal of culture na weusi hawawezi kumsapoti mtu wa aina hiyo wanamuita "uncle Tom"
 
I dont think you understand.
Dogo hajui kiswahili vizuri
Kwa lugha nyngne bongo bahati mbaya
Dogo mimbo yake ni kiingereza tu,24hrs anaongea kiingereza na yupo bongo,post zake zote english.
Huo ni usaliti wa indigenousness kwahyo mtu wa hvo siwezi kumsapot.
Kuna wa kishua wengi ila wanaishi kibongo tu na wanaongea kiswahili ila dogo ana uzungu mwingi,,
Sawa ana talents lakin ni sawa na wale wajinga wa kishua wa masaki wanaorap kiingereza wanakutana wanaongea tu english utazani wako USA.
Siwasapoti kwasababu sina kitu nao in common wale sio watanzania wenzangu in heart.

Ni sawa na USA umkute mtu black lakini anajitenga na weusi wenzake, marafiki zake mke wake wote wazungu,,unakuta hadi anaimba country music mimbo ya kizungu ili kuwafurahisha wazungu kuwa he is one of them...hiyo ni betrayal of culture na weusi hawawezi kumsapoti mtu wa aina hiyo wanamuita "uncle Tom"


Bongo bana

Incompetence binafsi za watu kutojua Kingereza wanahamisha eti ni kosa la muongeaji na sio lao!

Inferiority complex za kibwege hizi

Hujui Kingereza funga bakuli lako sikiliza Waswahili wenzio

Fvck these motherfvkers!
 
Bongo bana

Incompetence binafsi za watu kutojua Kingereza wanahamisha eti ni kosa la muongeaji na sio lao!

Inferiority complex za kibwege hizi

Hujui Kingereza funga bakuli lako sikiliza Waswahili wenzio

Fvck these motherfvkers!
Mzee i think bado huelewi.
Mimi mwenyewe nimesoma international since kindergarten na shule nlokuwa nasoma nimesoma na wazungu
Ung'eng'e nautema kama mlevi ila hata shuleni kuna wale wabongo nlokuwa nasoma nao darasan unakuta mtu mbongo kabisa tena msukuma eti yeye 24hrs anaongea English anaona kiswahili kama ushamba fulani...na unakuta anajipendekeza kwa wale wanafunzi wazungu tu hataki urafiki na wabongo wenzake.
Hiyo ndo inferiority complex.
Ishu sio kujua kiingereza ishu ni kutojua kiswahili au kujifanya hukijui au hupendi kukitumia.
Tafuta maana ya uncle tom na historia yake. .utanielewa namaanisha nini
Ni sawa na wale manamba na liwali waliokuwa weusi ila waliwauza babu zetu utumwani na kuwasimamia mashambani mwa wajerumani kwa kuwapiga mijeredi ili wajipendekeze kwa wazungu.
 
Huyo dogo sina shaka ni telented sana hasa kwenye kupiga instruments ila kwenye kuimba sio kivile, huwa anaimba sauti ya juu sana inakua kama anajilazimisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee i think bado huelewi.
Mimi mwenyewe nimesoma international since kindergarten na shule nlokuwa nasoma nimesoma na wazungu
Ung'eng'e nautema kama mlevi ila hata shuleni kuna wale wabongo nlokuwa nasoma nao darasan unakuta mtu mbongo kabisa tena msukuma eti yeye 24hrs anaongea English anaona kiswahili kama ushamba fulani...na unakuta anajipendekeza kwa wale wanafunzi wazungu tu hataki urafiki na wabongo wenzake.
Hiyo ndo inferiority complex.
Ishu sio kujua kiingereza ishu ni kutojua kiswahili au kujifanya hukijui au hupendi kukitumia.
Tafuta maana ya uncle tom na historia yake. .utanielewa namaanisha nini
Ni sawa na wale manamba na liwali waliokuwa weusi ila waliwauza babu zetu utumwani na kuwasimamia mashambani mwa wajerumani kwa kuwapiga mijeredi ili wajipendekeze kwa wazungu.

Hujasoma popote kamdanganye mpumbavu

Aliesoma vizuri anajua Kiswahili sahihi,cha ajabu hujui Kiswahili sahihi,hujui kupangilia paragraphs zako,infact hujui kuandika kwa usahihi

Kiswahili chako kibovu mno,kwenye L unaweka R,hujui kupangilia mawazo yako kwa mtiririko sahihi,unaruka ruka kama bata!

Kiingereza hujui,hata lugha ya kijijini kwenu hujui!

Concept ya Uncle Tom wewe ndio huijui!Dunia nzima tulikubaliana lugha ya dunia iwe English ili watu waweze kuwasiliana na kufanya mikataba nk,wewe unaongelea concept ya Uncle Tom ambayo hai-apply hapa!

Upo upo tu!

Halafu unakuja hapa unalalamika mtu akiongea Kiingereza?Mtu akiongea lugha ambayo huijui unaanza kupaniki na kuona wivu,who are you really!

Watu wanalipa dola 16,000 grade school hapa TZ watoto wajue Kingereza kwa ufasaha waweze kumudu dunia halafu unaongea mavi?Humudu dunia kwa kujua Kichagga wewe kiazi!
 
Hujasoma popote kamdanganye mpumbavu

Aliesoma vizuri anajua Kiswahili sahihi,cha ajabu hujui Kiswahili sahihi,hujui kupangilia paragraphs zako,infact hujui kuandika kwa usahihi

Kiswahili chako kibovu mno,kwenye L unaweka R,hujui kupangilia mawazo yako kwa mtiririko sahihi,unaruka ruka kama bata!

Kiingereza hujui,hata lugha ya kijijini kwenu hujui!

Concept ya Uncle Tom wewe ndio huijui!Dunia nzima tulikubaliana lugha ya dunia iwe English ili watu waweze kuwasiliana na kufanya mikataba nk,wewe unaongelea concept ya Uncle Tom ambayo hai-apply hapa!

Upo upo tu!

Halafu unakuja hapa unalalamika mtu akiongea Kiingereza?Mtu akiongea lugha ambayo huijui unaanza kupaniki na kuona wivu,who are you really!

Watu wanalipa dola 16,000 grade school hapa TZ watoto wajue Kingereza kwa ufasaha waweze kumudu dunia halafu unaongea mavi?Humudu dunia kwa kujua Kichagga wewe kiazi!

Okay sawa.
Naona umejikita kuniattack mimi personally
Lakini hunijui na hufaidiki,I can do the same(attack you) lakini sitaonesha utofauti nawewe....we will go back and forth.
Umesema sijui lugha yoyote...that's fine sikupingi, but atleast I have shown to have the dignity and willingness to learn and respect my mother tongue.
I embrace my originality
I have pride in my indigenousness.
Halafu wewe bado huelewi, mimi
Sipingi mtu kujua kiingereza ila napinga mtu kutojua kiswahili na ni mtanzania.
Kiingereza,french,Germany hata kidutch waache wakijue tu lakini while wanajifunza hivyo wasipuuzie lugha mama kiswahili.
Kwasababu wewe na dunia yako mlikaa kikao mkapitisha english pekee kuwa official lugha ya dunia nzima Sawa
ila Bob Marley anakuambia "you will forever be slaves,you won't be free until you free your minds"
 
Okay sawa.
Naona umejikita kuniattack mimi personally
Lakini hunijui na hufaidiki,I can do the same(attack you) lakini sitaonesha utofauti nawewe....we will go back and forth.
Umesema sijui lugha yoyote...that's fine sikupingi, but atleast I have shown to have the dignity and willingness to learn and respect my mother tongue.
I embrace my originality
I have pride in my indigenousness.
Halafu wewe bado huelewi, mimi
Sipingi mtu kujua kiingereza ila napinga mtu kutojua kiswahili na ni mtanzania.
Kiingereza,french,Germany hata kidutch waache wakijue tu lakini while wanajifunza hivyo wasipuuzie lugha mama kiswahili.
Kwasababu wewe na dunia yako mlikaa kikao mkapitisha english pekee kuwa official lugha ya dunia nzima Sawa
ila Bob Marley anakuambia "you will forever be slaves,you won't be free until you free your minds"

Mambwembwe meeengi

Acha unaaa

Tunajifunza lugha kama tool na sio eti ni cultural statement,tuna lugha zetu original

Sasa wewe na slave mentality sijui unatokea wapi wakati ni not applicable kabisa!

Kuna superpower,na haijatokea kwa bahati mbaya,dunia nzima tukakubaliana kwamba mikataba na mawasiliano ya financials na kila kitu iwe Kiingereza,sasa wewe peleka matako ya Kiswahili uone!

Na pia usiwe na chuki na mtu anaezungumza lugha tofauti na wewe!

Usitake kila mtu aongee lugha unayoitaka wewe kwa wakati unaotaka wewe!

Una vituko na chuki za kimama sana!

Ndio juhudi za serikali ya ajabu namna hii!
 
Mambwembwe meeengi

Acha unaaa

Tunajifunza lugha kama tool na sio eti ni cultural statement,tuna lugha zetu original

Sasa wewe na slave mentality sijui unatokea wapi wakati ni not applicable kabisa!

Kuna superpower,na haijatokea kwa bahati mbaya,dunia nzima tukakubaliana kwamba mikataba na mawasiliano ya financials na kila kitu iwe Kiingereza,sasa wewe peleka matako ya Kiswahili uone!

Na pia usiwe na chuki na mtu anaezungumza lugha tofauti na wewe!

Usitake kila mtu aongee lugha unayoitaka wewe kwa wakati unaotaka wewe!

Una vituko na chuki za kimama sana!

Ndio juhudi za serikali ya ajabu namna hii!
Duh! Mkuu umemvaa mchizi jumla jumla sana!!una hoja naye ana hoja ila naona umeamua kuharibu ubora wa hoja yako kwa kuambatanisha matusi ndani yake,hata mimi nikikutana na mtanzania aliyezaliwa tanzania,akaishi na kusoma tanzania halafu aniambie hajui kiswahili kabisa ila kizungu anakijua ntamdharau kwa kuhisi yeye tayari amenidharau.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom