Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Hahahaa!!Hazijafungwa, tunasubiri uzinduzi.
Actually tupo kwenye right track.
Watakwambia bajeti ya serikali ni ndogo kuweni wavumilivu."Shit hole countries"-Donald J.Trump
duh...Atajua mwenyewe
Hapana,wako kwenye mchakato wa kuajiri!!!!!!Hii nchi ina upuuzi wa ajabu!!
View attachment 782148 [HASHTAG]#Habari[/HASHTAG]:Mfadhili kutoka nchini Ujerumani Dkt.Ansgar Stüfe amesikitishwa na Zahanati tatu alizozijenga katika vijiji vya Litisha,Mdundualo na Lugagara wilayani Songea mkoani Ruvuma ili kuwasaidia wananchi kufungwa kwa kukosa wahudumu huku moja katika kijiji cha Mdundualo ikigeuzwa kuwa duka.
Hahahahahaa ombwe la nini???Kuna nchi ina ombwe la bina....mu!
Sisi tunatembea vifua mbele.AsitubabaisheHazijafungwa, tunasubiri uzinduzi.
Actually tupo kwenye right track.