Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,592
- 112,647
Watu wamefukuzwa kazi kwa ajili ya vyeti feki, awajibishwe kama wengineHivi team wema aka ukawa bashite akipigwa chini ndio mtaingia ikulu??
Watu wamefukuzwa kazi kwa ajili ya vyeti feki, awajibishwe kama wengineHivi team wema aka ukawa bashite akipigwa chini ndio mtaingia ikulu??
Haki itakuwa imetendeka!Hivi team wema aka ukawa bashite akipigwa chini ndio mtaingia ikulu??
Itaaamulu watoe kitu ambacho hakuna ushahidi.Kama mamlaka zina taarifa na wamezikalia mahakama itawaamuru kuzitoa.
Lakini sio nyie mliokuwa mnataka watu waende mahakamani wameenda mnaanza kulialia tena tuwaeleweje.
Baada ya Bashite kufungwa kwa kosa hilo njaa yangu ipo pale pale....
Hivi Paul halisi yupo wapi?
Baada ya Bashite kufungwa kwa kosa hilo njaa yangu ipo pale pale....
Hivi Paul halisi yupo wapi?
Lkn, nikidhani, kila mtumishi, ana wajibu wa kuwakilisha vyeti, na madodoso yake yote ya kitaaluma, kwa mamlaka zilizomuajiri, na si vinginevyo....
Kama Kuna uhakika kuwa "mtuhumiwa", kagushi, taratibu kisheria, si kumtaka mtuhumiwa atoe vyeti vyake, bali ni kwa mtuhumu kutoa ushahidi wa kuthibitisha tuhuma zake..
..."wanasiasa wetu, na wafuasi wenu, mbona hili jambo ni rahisi sana kulipatia ufumbuzi?"
"Kumuelewesha Chizi utajipa uchizi " - DarasaNa wewe naona ubongo wako Uko "in comma" kutokana na utapiamlo na unyafuzi wa akili unaokusumbua.
Na wewe nionyeshe penal code ipi inayosema kuwa ukiwa mkuu wa mkoa wa DSM ni lazima uonyeshe.vyeti vyako.
Wewe umekuwa mateka wa kisiasa .. sorry mateWapuuzi nyie.Watumishi waliofukuzwa kwa kuwa na vyeti feki walikuwa hawafanyi kazi?
Sijawahi kusikia mahala popote duniani mpambano wa kupambanisha vyeti vya mkuu wa nchi na kiongozi wa UPE kama wa ufipa,Propaganda za uongo zinawapoteza vijana wa Lumumba na asilimia kuubwa wanaamini! Katiba ya JMT ilikua ikimuhitaji mtu anayegombea uraisi awe na minimum qualification ya bachelor degree Huyo unayemsema alikua mgombea 2005! Hamjiulizi tuu ilikuwaje?
Mngekua mnaushirikisha ubongo kidoogo msingekuwa mnaandika mapumba haya! Mmesababisha hata mkulu kawaamini! nilimsikia anamhusisha mtu na vilaza! Hebu kama mnafikiri kuwa Mh ni kilaza tupambanishe seriously vyeti vya mkulu na mh tukianzia cha form four bila aibu tuviweke mitandaoni kama hamtagumba macho kwa Ainu!
Huenda asiwe boya. Huenda suala hili analitizama in an opposite frame of mind compared to yours. Huenda kuna waliofukuzwa kazi kwenye halmashauri/kata yake ndo wanamsukuma afanye hivyo ili ile dhana ya ''sheria ni msumeno, inakata kotekote'' ifanye kazi....huenda ni suala la kutafuta political mileage....Kama hii habari ya ukweli basi huyu jamaa ni boya lakufa mtu.
Kumbuka pia kumfukuza chizi kisa kachukua Nguo zako wakati Uko bafuni nawe Utakuwa chizi zaid yake. Over.."Kumuelewesha Chizi utajipa uchizi " - Darasa
Jumatano ijayo ni tarehe 22/03/2017 hiyo huenda ni habari ya uongoMayor wa Ubungo Mh. Borniface Jacob anakusudia kufungua shauri mahakamani la kumtaka mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam kuonesha vyeti vyake ili kuondoa utata uliojitokeza hivi karibuni dhidi ya kiongozi huyo wa mkoa. Kesi hiyo inatarajiwa kufunguliwa jumatato ijayo ya tar 20/03/2017.
Stay tuned.
Kwahiyo hiyo ni miongoni mwake job description ya meya wa ubungo..?? Ama kweli aliyewaroga ufipa aliisha jifia kifo cha mende ndembe ndembe.Meya anafanya kazi nzuri ya kupambana na majizi ya vyeti na majina. Aungwe mkono na kila mpenda maendeleo.
Kwa iyo unataka kuongozwa na nani? mchapa ngono.. ...afadhali mnakiri kuwa anachapa kazi mnachotakiwa kufanya ni kuwacha wivu wa kike that's it.Hatuwezi kuongozwa na mjinga eti tu kwa vile ni mchapakazi.
Ooh....yes even to the heights of being a scandal to government.Boya ni wewe mjinga wa sheria! This is a fit case to be contested!
Mayor wa Ubungo Mh. Borniface Jacob anakusudia kufungua shauri mahakamani la kumtaka mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam kuonesha vyeti vyake ili kuondoa utata uliojitokeza hivi karibuni dhidi ya kiongozi huyo wa mkoa. Kesi hiyo inatarajiwa kufunguliwa jumatato ijayo ya tar 20/03/2017.
Stay tuned.
Katika nchi za watu wanaojitambua hii ilitosha kabisa kuwa scandal kwa mfumo mzima wa serikari.Hivi akili zenu huwa ni za kuvukia barabara ama!!???... MTU anapeleka shauri mahakamani kwa MTU alievunja sheria " Penal Codes" za Tanzania unamuona hafai... Kweli naanza kuamini mnyama pekee kumtawala kirahisi duniani ni mtanzania...
Hili suala la forgery lingekuwa Kenya ungeona na kushuhudia utofauti wa vichwa vya wakenya kama binaadamu na vichwa vya watanzania kama misukule isiyojielewa kama wewe
Hatuna haja ya kuingia ikulu kwenye masaburi yako tukiingia inatoshaHivi team wema aka ukawa bashite akipigwa chini ndio mtaingia ikulu??