siyo lazima kibao hata huu mtaa wetu unajina, lakini hakuna kibaoAkihojiwa na Clouds Habari amesikika akisema kuwa atahakikisha kibao cha mtaa wa V.Wanyama kitarejeshwa hata kama taratibu hazikufuatwa.
Kwa hiyo JPM mpaka kwenye vibao vya mitaa anapambana?Mbao haijawahi kutoboa Msumali!
Asijihadae, Huyo Mayor Ana ujeuri na ujasiri wa kumzidi Lema? Lakin sasa Lema kawa Raia Mwema!
Hata Manji Mzee wa Umbwa nae kaomba Pooo!
JPM sio Mkwere
Mbao haijawahi kutoboa Msumali!
Asijihadae, Huyo Mayor Ana ujeuri na ujasiri wa kumzidi Lema? Lakin sasa Lema kawa Raia Mwema!
Hata Manji Mzee wa Umbwa nae kaomba Pooo!
JPM sio Mkwere
Akihojiwa na Clouds Habari amesikika akisema kuwa atahakikisha kibao cha mtaa wa V.Wanyama kitarejeshwa hata kama taratibu hazikufuatwa.
KukomoanaCcm wanawivu wa kike
meya wa chadema aliweka bango walienda kung'oa siku hiyo hiyo. utadhani lile bango lilikuwa linawawasha.
Naona katika hili Clouds wamejitokeza kumpa support.
Tuone mwisho wake!
Kwenye taarifa amesema atarudisha hiko kibao hata kama taratibu hazikufuatwa...!!huyu jamaa hastahili kuwa meya.Nyie watu wajinga kweli!
Hivi kibaya alichoongea meya ni kitu gani?
Tatizo uvccm mnaongozwa na mihemko unaishia kudanganya ambao hawasikiliza taarifa hiyo ya habari!
[HASHTAG]#KilekibaotumtaaJina[/HASHTAG]