Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,503
- 217,763
Unataka kusema ikulu ya Tanzania ndio imeondoa bango la Wanyama ?Mbao haijawahi kutoboa Msumali!
Asijihadae, Huyo Mayor Ana ujeuri na ujasiri wa kumzidi Lema? Lakin sasa Lema kawa Raia Mwema!
Hata Manji Mzee wa Umbwa nae kaomba Pooo!
JPM sio Mkwere