Evans-Arsenal
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 868
- 1,385
Akiongea na waandishi wa habari Meya wa Ubungo Mheshimiwa Boniphace Jacob amesema kwamba ameachiwa huru kabisa bila masharti yoyote na kwamba alivyokamatwa ilikuwa ni siasa tu.
Nilikamatwa na polisi baada ya viongozi mbalimbali toka chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) kunitembelea katika ofisi zangu na hili agizo la kuniweka polisi lilitolewa na mkuu wa wilaya ya Ubungo na sijui kosa lilikuwa ni nini hasa. Alisema Meya wa Ubungo Mh Jacob.
"Kama kuna mwanaChadema anayesubiri kufanya siasa kwa huruma ya CCM basi aache siasa, maana itakuwa ni sawa na kumwomba Shekh akuchinjie nguruwe ili usile nyama haramu"
Nukuu ya Meya wa Ubungo
Source: AyoTv
Nilikamatwa na polisi baada ya viongozi mbalimbali toka chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) kunitembelea katika ofisi zangu na hili agizo la kuniweka polisi lilitolewa na mkuu wa wilaya ya Ubungo na sijui kosa lilikuwa ni nini hasa. Alisema Meya wa Ubungo Mh Jacob.
"Kama kuna mwanaChadema anayesubiri kufanya siasa kwa huruma ya CCM basi aache siasa, maana itakuwa ni sawa na kumwomba Shekh akuchinjie nguruwe ili usile nyama haramu"
Nukuu ya Meya wa Ubungo
Source: AyoTv