Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,054
- 7,263
Hao ndo wanatufany machinga ote tuonekane brainlessAkichangia hoja kwenye sakata la kuwapanga wamachinga, Meya Songoro Mnyonge amedai kwamba wafanyabiashara elfu 45 wa Manispaa hiyo waliacha maduka yao na kugeuka wamachinga katika muda mfupi wa miaka mitano tu, hakueleza sababu hasa ya jambo hilo kama ni kufa kwa uchumi wa nchi au kuenea kwa wamachinga kila mahali.
Amedai mpaka sasa zaidi ya maduka 150 hufungwa kila mwezi kutokana na ugumu wa biashara.
Chanzo : Global Publishers
Mytake: Nchi hii ilipofikia kiuchumi inahitaji kufunga na kuomba.